• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 10:55 AM

Zuma sasa huru kuwania urais licha ya hukumu ya uhalifu

PRETORIA, AFRIKA KUSINI NA MASHIRIKA RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma yuko huru kugombea katika uchaguzi mkuu wa mwezi Mei...

Ukabila wachacha katika kaunti kuajiri wafanyakazi – Ripoti

NA ERIC MATARA KAUNTI 30 zimemulikwa kwa kukosa kutimiza usawa wa kikabila katika kuajiri wafanyakazi wake, kulingana na ripoti mpya...

Omtatah ashikana na maseneta 21 kurudi kortini kujaribu kuangusha tena Ushuru wa Nyumba

Na RICHARD MUNGUTI SENETA Okiya Omutatah na maseneta wengine 21 wamerudi tena mahakama kukabana koo na Rais William kuhusu sheria ya...

Mfanyabiashara aduwaza Bunge kukiri hakujua kilichokuwa kwa magunia aliyouza kama mbolea

COLLINS OMULO NA WANDERI KAMAU MMILIKI wa kampuni iliyopigwa marufuku kwa kusambaza mbolea ghushi nchini, jana aliwashangaza wabunge...

Ruto ataka makanisa yashirikiane na serikali kukabili maovu katika jamii

WANDERI KAMAU NA PCS RAIS William Ruto amesema kuwa Serikali na mashirika ya kidini yana jukumu la pamoja kushirikana...

Kadhi Mkuu atangaza rasmi mwisho wa Mfungo wa Ramadhani

NA WACHIRA MWANGI Kadhi Mkuu Abdulhalim Hussein ametangaza mwisho wa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Jumanne baada ya kuonekana kwa...

Manusura pekee wa ajali iliyoua saba Ngata Bridge atambuliwa kuwa afisa wa polisi

MERCY KOSKEI NA VITALIS KIMUTAI MANUSURA pekee kutoka ajali iliyoua watu 7 jana katika eneo la Ngata, Kaunti ya Nakuru, anapokea matibabu...

Huenda mnichukie lakini lazima tuvamie Rafah, Netanyahu asema

JERUSALEM, Israel Na MASHIRIKA WAZIRI Mkuu wa Israel amesema kuwa tarehe imetengwa ya uvamizi wa mji wa Rafah kusini mwa Gaza huku...

Ruto kutafuta mtu mwingine baada ya Kemosi kukataa kazi ya ubalozi wa Ghana

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA mbunge wa Mugirango Magharibi, Bw Vincent Mogaka Kemosi, amekataa uteuzi wake kama balozi wa Kenya nchini...

Kindiki atangaza Jumatano kuwa siku ya mapumziko, kuadhimisha Eid-ul-Fitri

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindii ametangaza Jumatano, Aprili 10, 2024 kuwa siku ya mapumziko. Siku hiyo...

Ruto aridhishwa na usambazaji fatalaiza licha ya ‘soko’ kusheheni mbolea feki  

NA WAANDISHI WETU  RAIS William Ruto ameelezea kuridhishwa kwake na shughuli ya usambazaji mbolea ya ruzuku hata baada ya Wizara ya...

Wanawake Kenya wanavyogeuzwa tasa hospitalini bila idhini yao – Utafiti

NA LEON LIDIGU WANAWAKE nchini wanaosaka huduma za matibabu ya uzazi wanafanyiwa ukaguzi wa sehemu za siri, kukatizwa uwezo wa kupata...