PRETORIA, AFRIKA KUSINI NA MASHIRIKA RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma yuko huru kugombea katika uchaguzi mkuu wa mwezi Mei...
NA ERIC MATARA KAUNTI 30 zimemulikwa kwa kukosa kutimiza usawa wa kikabila katika kuajiri wafanyakazi wake, kulingana na ripoti mpya...
Na RICHARD MUNGUTI SENETA Okiya Omutatah na maseneta wengine 21 wamerudi tena mahakama kukabana koo na Rais William kuhusu sheria ya...
COLLINS OMULO NA WANDERI KAMAU MMILIKI wa kampuni iliyopigwa marufuku kwa kusambaza mbolea ghushi nchini, jana aliwashangaza wabunge...
WANDERI KAMAU NA PCS RAIS William Ruto amesema kuwa Serikali na mashirika ya kidini yana jukumu la pamoja kushirikana...
NA WACHIRA MWANGI Kadhi Mkuu Abdulhalim Hussein ametangaza mwisho wa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Jumanne baada ya kuonekana kwa...
MERCY KOSKEI NA VITALIS KIMUTAI MANUSURA pekee kutoka ajali iliyoua watu 7 jana katika eneo la Ngata, Kaunti ya Nakuru, anapokea matibabu...
JERUSALEM, Israel Na MASHIRIKA WAZIRI Mkuu wa Israel amesema kuwa tarehe imetengwa ya uvamizi wa mji wa Rafah kusini mwa Gaza huku...
NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA mbunge wa Mugirango Magharibi, Bw Vincent Mogaka Kemosi, amekataa uteuzi wake kama balozi wa Kenya nchini...
NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindii ametangaza Jumatano, Aprili 10, 2024 kuwa siku ya mapumziko. Siku hiyo...
NA WAANDISHI WETU RAIS William Ruto ameelezea kuridhishwa kwake na shughuli ya usambazaji mbolea ya ruzuku hata baada ya Wizara ya...
NA LEON LIDIGU WANAWAKE nchini wanaosaka huduma za matibabu ya uzazi wanafanyiwa ukaguzi wa sehemu za siri, kukatizwa uwezo wa kupata...