• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 6:50 AM

AstraZeneca yaifaa KNH kwa mashine ya kisasa ya tiba ya kansa ya tezi dume

NA PAULINE ONGAJI KAMPUNI ya kimataifa ya kutengeza dawa ya AstraZeneca, mnamo Alhamisi ilitoa msaada wa mashine ya kutumia teknolojia ya...

Masaibu ya chokoraa wa kike wasiopata huduma za upangaji uzazi licha ya dhuluma za kingono

NA FRIDAH OKACHI HOFU ya kudungwa sindano wanayosema huenda ikawa na sumu, imefanya chokoraa wa kike kuwa wazazi wakiwa wangali wadogo...

Mtoto mvulana avalishwe ‘diapers’ au aachwe nyeti zake zipunge hewa?

NA WANGU KANURI MJADALA wa iwapo mtoto wa kiume anapaswa kuvalishwa nepi (diaper) au la bado ungalipo huku wazazi mbalimbali wakiwa na...

Boresha afya: Haya ni baadhi ya matumizi mengi ya ndizi

NA PAULINE ONGAJI KWA watu wengi picha ya ndizi iliyoiva kupindukia haipendezi, na tunda hili linapoonekana hivi kwa wengi suluhisho huwa...

‘Mume wangu analea watoto wetu watatu, lakini hajui wawili si wake’

NA FRIDAH OKACHI ULIPIZAJI kisasi umechangia baadhi ya wanaume kulea watoto ambao si wao. Mume wa Kate anawalea watoto wawili bila kujua...

Kansa: Mwanamke asimulia jinsi mume alivyomuacha kwa kukatwa titi

NA KALUME KAZUNGU BI Shumi Abdallah Bakari ni miongoni mwa manusura wa maradhi ya saratani ya matiti kisiwani Lamu. Mama huyo wa miaka 63...

SHINA LA UHAI: Teknolojia mpya ya CyberKnife tumaini la wanaougua kansa

NA PAULINE ONGAJI MNAMO Septemba 27, 2023, Bw Benjamin Muthama,28, alianza matibabu yake ya mnururisho kuondoa uvimbe uliokuwa kati ya...

Disko Matanga sasa marufuku Kilifi kuzima kuchafuliwa kwa vigoli

KNA na LABAAN SHABAAN KAMATI ya Usalama wa Kaunti ya Kilifi imezima maombolezi ya Disko Matanga kwa kuhusishwa na unajisi wa wasichana...

Utafiti wakanusha; ‘stress’ haisababishi ‘mtambo’ kushindwa kunguruma

NA CECIL ODONGO WATAFITI wamebaini kuwa msongo wa mawazo na shauku (anxiety) haina uhusiano wowote na ukosefu wa nguvu za kiume kinyume na...

Wanandoa wanaotaka kupata watoto wakatazwa kula samaki wakubwa

NA ANGELINE OCHIENG ULAJI wa samaki wakubwa unaweza ukapunguza uwezo wa kupata watoto miongoni mwa wanaume na wanawake, wataalamu...

Shule yatoa ilani kuhusu apu ya Roblox inayoweka watoto kwenye hatari ya ngono

NA LABAAN SHABAAN MZAZI mmoja ametahadharisha wazazi wengine kuhusu tovuti maarufu ya kutoa mafunzo na michezo ya watoto kwa jina...

Ugonjwa unaomfanya mtu kujikuna anapogusa maji

Na WANGU KANURI MNAMO mwaka wa 2016, Walter Simiyu, 30, alianza kuhisi mwasho kila wakati alipogusa maji na haswa akioga. Bw Simiyu...