• Nairobi
  • Last Updated December 3rd, 2023 7:00 PM

Mkulima Wangari Kuria ambaye amejizolea lakabu ‘Farmer on Fire’ kutokana na juhudi zake shambani

NA MAGDALENE WANJA MKULIMA Wangari Kuria anatambulika kwa jina 'Farmer on Fire', kutokana na juhudi zake shambani. Wangari pia...

Wanakuza Hass Avocado kuwafaa wakazi wa Gusii

NA WYCLIFFE NYABERI IKIWA umewahi kusafiri majira ya jioni kutoka Kisii kwenda Nairobi siku yoyote ile, huenda macho yako yalitua kwenye...

Mkahawa Solutions: Programu inayorahisisha biashara zinazohusu mikahawa

NA MAGDALENE WANJA JANGA la Covid-19 lilikuwa na mazuri yake kwa sababu kwa kiwango kikubwa liliamsha ari ya watu mbalimbali kukuna...

UJASIRIAMALI: Jinsi wazo la kutatua changamoto ya kiafya lilivyozaa biashara kubwa

Na MAGDALENE WANJA MNAMO mwaka 2020, Victor Kamau alitumia muda wake mwingi kufanya utafiti ili kupata dawa za kumtibu nduguye mdogo...

UJASIRIAMALI: Asema kuelewa mahitaji ya mteja ndio siri ya kutengeneza wavuti maridadi

Na MAGDALENE WANJA PATRICK Mugambi alianza biashara yake mnamo mwaka 2014 alipokuwa bado ameajiriwa katika kampuni ya kuundia wateja...

ZARAA: Hawasubiri misaada tu, wao wanajikuzia chakula

NA LABAAN SHABAAN MAKAO ya watoto ya Ruiru katika Kaunti ya Kiambu hayakai tu bure na kusubiri misaada kutoka kwa wahisani; inajisabilia...

Wanafuga samaki wa kiume pekee kufungia nje ushindani

NA PETER CHANGTOEK KATIKA umbali wa kilomita takribani 60 kutoka jijini Nairobi, shamba moja la ufugaji samaki linatambulika kwa wengi....

UJASIRIAMALI: Ana magari ya wateja kulipia wayatumie kwa muda fulani

NA MAGDALENE WANJA BAADA ya kufanya biashara za aina mbalimbali, ikiwemo ya mitumba, Bw Simon Kibe aligundua kuwa kulikuwa na pengo...

ZARAA: Kifaa cha mkono kuchuma chai, kupunguza gharama

NA SAMMY WAWERU MOJAWAPO ya changamoto kuu inayogubika wakulima wa majanichai eneo la Githunguri, Kaunti ya Kiambu ni gharama ya...

MITAMBO: Mseto wa mitambo 2 kuandaa lishe kamilifu

NA RICHARD MAOSI UHAKIKA wa kupata malisho ni mojawapo ya changamoto zinazowakumba wakulima na wafugaji hasa kipindi hiki cha ukame. Hii...

Ufugaji bata wanawiri kupitia lishe ya wadudu

NA LABAAN SHABAAN UKIINGIA katika shamba la Ololo eneo la Kajiado Kaskazini kilomita 25 kutoka Jiji la Nairobi, utakaribishwa na sauti za...

ZARAA: Atambua vinyonga ni dawa ya wadudu shambani

NA SAMMY WAWERU SHAMBA la Charles Mburu ni bustani ya mseto wa matunda, mengi akiwa anayakuza kwa minajili ya biashara. Limesheheni...