• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

MAZINGIRA: Mchango wa kilimo-bustani katika kuimarisha tabianchi

NA PAULINE ONGAJI VIONGOZI wa kimataifa na wataalam wa masuala ya mabadiliko ya tabianchi walipokusanyika kwenye kongamano la 2022 la...

ZARAA: Mfumo bora kuendeleza uzalishaji chakula mijini

NA SAMMY WAWERU MWEZI uliopita, Januari na huu wa Februari, kiangazi na ukame vyote vimeonyesha makali yake huku zaidi ya kaunti 20...

Usokotaji manyoya wapiga jeki kina mama wa Kibra

NA LABAAN SHABAAN KIKUNDI cha kina mama kwa jina Ayani eneobunge la Kibra, Kaunti ya Nairobi kimedumu zaidi ya miongo mitatu tangu...

TUJIFUNZE UFUGAJI: Weka sheria kudhibiti wanaoingia kwenye makao ya kuku wako

NA SAMMY WAWERU KENCHIC ni mojawapo ya kampuni kubwa katika uzalishaji wa kuku nchini na ina mipango miwili kuhakikisha wateja wake...

UFUGAJI: Afurahia ufugaji kuku wa mayai licha ya visiki vingi

NA SAMMY WAWERU PRISCA Njeri amekuwa katika biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai kwa zaidi ya miaka saba. Aliingilia ufugaji bila...

Yeye hugeuza uchafu kuwa sanaa inayolipa

NA LABAAN SHABAAN KELVIN Kilonzo, 28, hakufaulu kuendeleza kisomo chake zaidi ya kiwango cha shule ya upili. Katika kusaka njia ya...

ZARAA: Aliachana na mahindi kahawa iliponyanyuka

NA PETER CHANGTOEK KAUNTI ya Narok hujulikana kwa uzalishaji wa ngano, mahindi na viazi. Hata hivyo, kuna wakulima walioacha ukuzaji...

UFUGAJI: Wachina huwania nyama ya sungura wao kila wakati

NA PETER CHANGTOEK UFUGAJI wa sungura ni shughuli ambayo inaweza kumfaidi mfugaji, hasa iwapo ataiendeleza kwa njia ifaayo. Sungura wana...

Jinsi ustawishaji wa maua na mimea ya kuvutia unavyompa kipato, utulivu wa moyo

Na MAGDALENE WANJA MNAMO Machi 2019, Bi Marlene Mweru, aliamua kugawa mimea na maua ambayo alikuwa amepanda hapo awali nyumbani kwao ili...

ZARAA: Makadamia yalishuka bei 2020, uongezeaji thamani ukamuokoa

NA SAMMY WAWERU UGONJWA wa Covid-19 ulipotua nchini Machi 2020, Wangui Ikahu ni mmoja wa wawekezaji katika sekta ya kilimo walioathirika...

UFUGAJI: Mbuzi wamemfungulia milango ya kulipa karo

NA JOHN NJOROGE WAKATI Harrison Simotwo alihamia boma lake jipya 1996 kutoka Baringo Kaskazini, alianza kufuga ng’ombe wa maziwa na...

Kilimo cha wadudu tiba ya udongo kwa zao bora

NA RICHARD MAOSI VERMICULTURE ni teknolojia ya kufuga wadudu wa aina ya earthworms kwa manufaa ya kurutubisha udongo kwa ajili ya kukuza...