NA PAULINE ONGAJI VIONGOZI wa kimataifa na wataalam wa masuala ya mabadiliko ya tabianchi walipokusanyika kwenye kongamano la 2022 la...
NA SAMMY WAWERU MWEZI uliopita, Januari na huu wa Februari, kiangazi na ukame vyote vimeonyesha makali yake huku zaidi ya kaunti 20...
NA LABAAN SHABAAN KIKUNDI cha kina mama kwa jina Ayani eneobunge la Kibra, Kaunti ya Nairobi kimedumu zaidi ya miongo mitatu tangu...
NA SAMMY WAWERU KENCHIC ni mojawapo ya kampuni kubwa katika uzalishaji wa kuku nchini na ina mipango miwili kuhakikisha wateja wake...
NA SAMMY WAWERU PRISCA Njeri amekuwa katika biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai kwa zaidi ya miaka saba. Aliingilia ufugaji bila...
NA LABAAN SHABAAN KELVIN Kilonzo, 28, hakufaulu kuendeleza kisomo chake zaidi ya kiwango cha shule ya upili. Katika kusaka njia ya...
NA PETER CHANGTOEK KAUNTI ya Narok hujulikana kwa uzalishaji wa ngano, mahindi na viazi. Hata hivyo, kuna wakulima walioacha ukuzaji...
NA PETER CHANGTOEK UFUGAJI wa sungura ni shughuli ambayo inaweza kumfaidi mfugaji, hasa iwapo ataiendeleza kwa njia ifaayo. Sungura wana...
Na MAGDALENE WANJA MNAMO Machi 2019, Bi Marlene Mweru, aliamua kugawa mimea na maua ambayo alikuwa amepanda hapo awali nyumbani kwao ili...
NA SAMMY WAWERU UGONJWA wa Covid-19 ulipotua nchini Machi 2020, Wangui Ikahu ni mmoja wa wawekezaji katika sekta ya kilimo walioathirika...
NA JOHN NJOROGE WAKATI Harrison Simotwo alihamia boma lake jipya 1996 kutoka Baringo Kaskazini, alianza kufuga ng’ombe wa maziwa na...
NA RICHARD MAOSI VERMICULTURE ni teknolojia ya kufuga wadudu wa aina ya earthworms kwa manufaa ya kurutubisha udongo kwa ajili ya kukuza...