• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 8:55 AM

Waithaka wa Jane adai kwa muziki, wengi huzimiana nyota

NA MWANGI MUIRURI WAITHAKA wa Jane ambaye mashabiki wengi humtawaza kama Mfalme wa Mugithi kwa kumsawiri kama aliyemwondoa Samidoh...

Eve Mungai achapa kazi akifunika tetesi za penzi kuingia mdudu

NA FRIDAH OKACHI 'YOUTUBER' Mungai Eve anaendelea kufanya kazi yake kama kawaida licha ya kuwekewa presha aeleze mambo wazi kuhusu uvumi...

Miguna Miguna: Simba kwa mapenzi anatulia

NA FRIDAH OKACHI WAKILI Miguna Miguna ambaye kauli zake ni za kumkemea yeyote anayejaribu kujihusisha na ukiukaji Katiba, amepakia...

Faith Lukosi atia wivu wanawake wa Kenya kwa kudekezwa na mumewe hadharani

NA FRIDAH OKACHI WAKILI na mkurungezi wa Youth Enterprise Development Fund Faith Norah Lukosi, amemsifu mumewe, Bw Donald Juma, akitaka...

Ambia Samidoh akujengee boma lako, Karen Nyamu aambiwa

NA FRIDAH OKACHI WATOAJI maoni na wajuaji mtandaoni sasa wanamtaka Seneta Maalum Karen Nyamu amuombe mwanamuziki Samuel Muchoki almaarufu...

Wito serikali, mashirika yamnyanyue mwanahabari Kimani Mbugua

NA WANDERI KAMAU MNAMO Oktoba 2023, mamia ya Wakenya waliungana pamoja kumsaidia mwanahabari Kimani Mbugua, baada ya kukumbwa na msururu...

Justina Syokau afunga mwaka na drama zake

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Justina Syokau almaarufu kama ‘Madam 2020’ anamaliza mwaka 2023 kwa drama zake za kawaida. Ingawa yeye...

Mkesha: DJ Fatxo kutumbuiza mkahawani Aberdare

NA MWANGI MUIRURI WAKAZI wa Kaunti ya Nyeri na majirani wao wamealikwa na DJ Fatxo katika hafla ya mkesha wa kupisha Mwaka Mpya wa 2024...

Natalie: Niliachwa kwa sababu ya maradhi

NA RAJAB ZAWADI KUACHWA na kuachana kupo, au sio bwana? Ila kuna dizaini nyingine za kuachwa zimwachazo mtu na vidonda vya...

Size 8: ‘Vidonge’ ni kibao kilichonitoa matopeni

NA SINDA MATIKO KILA mtu ana stori yake ya ufanisi na yake mwimbaji mhubiri Size 8, ilitokana na hiti ya 'Vidonge'. Size 8 Reborn...

Ninaenda ‘break’ mashabiki mnisubiri – Akothee

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA na mwanamuziki Esther Akoth almaarufu 'Akothee', alitangaza atachukua mapumziko kwenye mitandao ya...

Sabina Chege: Kwa Pasta Ng’ang’a ndipo

NA WANDERI KAMAU MBUNGE Maalum Sabina Chege amesema kuwa alipata baraka zake kutoka kwa Kanisa la Neno Evangelism Centre, lake Pasta...