• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 3:03 PM

Wito serikali, mashirika yamnyanyue mwanahabari Kimani Mbugua

NA WANDERI KAMAU MNAMO Oktoba 2023, mamia ya Wakenya waliungana pamoja kumsaidia mwanahabari Kimani Mbugua, baada ya kukumbwa na msururu...

Justina Syokau afunga mwaka na drama zake

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Justina Syokau almaarufu kama ‘Madam 2020’ anamaliza mwaka 2023 kwa drama zake za kawaida. Ingawa yeye...

Mkesha: DJ Fatxo kutumbuiza mkahawani Aberdare

NA MWANGI MUIRURI WAKAZI wa Kaunti ya Nyeri na majirani wao wamealikwa na DJ Fatxo katika hafla ya mkesha wa kupisha Mwaka Mpya wa 2024...

Natalie: Niliachwa kwa sababu ya maradhi

NA RAJAB ZAWADI KUACHWA na kuachana kupo, au sio bwana? Ila kuna dizaini nyingine za kuachwa zimwachazo mtu na vidonda vya...

Size 8: ‘Vidonge’ ni kibao kilichonitoa matopeni

NA SINDA MATIKO KILA mtu ana stori yake ya ufanisi na yake mwimbaji mhubiri Size 8, ilitokana na hiti ya 'Vidonge'. Size 8 Reborn...

Ninaenda ‘break’ mashabiki mnisubiri – Akothee

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA na mwanamuziki Esther Akoth almaarufu 'Akothee', alitangaza atachukua mapumziko kwenye mitandao ya...

Sabina Chege: Kwa Pasta Ng’ang’a ndipo

NA WANDERI KAMAU MBUNGE Maalum Sabina Chege amesema kuwa alipata baraka zake kutoka kwa Kanisa la Neno Evangelism Centre, lake Pasta...

Mungai Eve, Trevor wanusurika kwenye ajali

NA FRIDAH OKACHI MTENGENEZAJI maudhui mwenye ufanisi mkubwa YouTube, Mungai Eve na mpenziwe Director Trevor, walinusurika bila majeraha...

Jinsi wazungu weusi wanavyotesa ‘ushago’

NA MWANGI MUIRURI BAADHI ya wenyeji waliozoea maisha ya mashambani wameshikilia kuwa ni mwiko kwao kuanika kijivazi cha ndani kwa kamba...

Rayvanny amwaga sababu za kujitoa WCB

NA RAJAB ZAWADI WIKI jana Rayvanny, Vanny Boy, alisherehekea mwaka mmoja tangu alipojiondoa kwenye lebo ya WCB Wasafi yake Diamond...

Posti za ‘kichokozi’ kwa Christina Shusho

NA LABAAN SHABAAN WANAUME wenye mazoea ya kumezea mate kila mwanadada mrembo, wamejitoma mitandaoni kuelezea namna wanavyomsubiria...

Msanii aliyeonja kifungo bila hatia aendeleza mahamasisho ya amani

NA LABAAN SHABAAN KILA anapofurahia uhuru wake, yeye huMshukuru Mwenyezi Mungu na kumuomba hekima asije akajipata tena rumande ama...