• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 2:16 PM

Mamake Diamond amfosi kuoa

NA SINDA MATIKO MPANGO wa mamake Diamond kumwoza mke mwanawe huyo staa wa muziki umetibuka. Esna Khan, dadake staa wa Bongo Flava...

Muziki mtamu unahitaji msanii aliyeenda shule – Span One

NA BENSON MATHEKA MWANAMUZIKI Lamaz Mbago Omollo almaarufu Span One amesema lengo lake katika tasnia ya muziki ni kuondoa fikra na dhana...

Alikiba afungua kituo cha redio na televisheni

NA WANDERI KAMAU BAADA ya kuwa kwenye tasnia ya burudani kwa miongo miwili, mwanamuziki Alikiba kutoka Tanzania ameamua kufuata nyayo za...

Pasta Ng’ang’a ‘atoa makucha’ EACC ikimwandama kuhusu ardhi ya Kanisa

NA WANDERI KAMAU MVUTANO baina ya Pasta James Ng’ang’a na Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) unaendelea kutokota kuhusu...

Zuchu aomba radhi kwa onyesho ‘lisilofaa’

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Zuhura Othman Soud almaarufu Zuchu alilazimika kuomba radhi baada ya mamlaka kusitisha shughuli zake zote za...

Embarambamba akubali kurudi kwa laini

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Injili Christopher Nyangwara Mosioma almaarufu ‘Embarambamba’ amesema anaacha kuvalia mavazi ya...

Askofu Yohana: Ukipata mke mcha Mungu, umepata mgodi wa dhahabu

NA MWANGI MUIRURI ASKOFU Danson Gichuhi almaarufu Yohana ambaye amegonga vichwa vya vyombo vya habari kwa kutoa mapepo kutoka kwa waumini...

Wenye saluni wajitetea ‘umbea’ wao si wa kubomoa familia

NA WANDERI KAMAU WAFANYAKAZI katika saluni wamejitokeza kujitetea dhidi ya madai ya baadhi ya wanaume kwamba gumzo linalopigwa wanawake...

Staa wa ‘Mali Safi Chito’ apambania hakimiliki ya wimbo wake

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Millicent Jerotich almaarufu ‘Marakwet Daughter’ amedai kwamba kuna kundi linalotaka kuchukua hakimiliki...

Mcheshi Muthee Kiengei sasa kutawazwa kuwa Askofu

NA WANDERI KAMAU NI dhahiri sasa kuwa Pasta Ben Gathungu almaarufu 'Muthee Kiengei' atatawazwa kuwa Askofu. Kulingana na tangazo...

Mchekeshaji Dkt Cassypool adai ni chawa wa Rais

NA JURGEN NAMBEKA MCHEKESHAJI mwenye sifa na ufuasi mkubwa mtandaoni, Dkt Cassypool, amewarai vijana kutoka ukanda wa Pwani na Kenya kwa...

Betty Kyallo afichua kuliendaje na Stivo Simple Boy

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA na mwanahabari Betty Mutei Kyallo amefunguka kuhusu mkutano wake wa hivi majuzi na rapa Stephen Otieno...