• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 10:55 AM

Waithaka wa Jane: Mfalme wa ‘Mugithi’ asiyekunywa pombe

NA WANDERI KAMAU WAKATI mwanamuziki wa mtindo wa Mugithi, Salim Junior, alipofariki mnamo 2021, kifo chake bila shaka kilikuwa pigo kubwa...

Mike Rua: Mimi ndiye ‘Big Daddy’ wa Mugithi wengine wakijiita wafalme

NA MWANGI MUIRURI MTINDO wake wa kupiga gitaa ni wa kipekee na wasanii wengi huwa wamekubaliana kwamba Mike Rua ni mwalimu wa kuheshimiwa...

DOMOKAYA: Hivi kweli haya mapenzi yana maana gani haswa? Binadamu hapendeki!

NA MWANAMIPASHO Duh! Hivi wanazengo hebu soogeni karibu niwaulize jambo. Hivi kweli haya mapenzi yana maana? Maana mimi binafsi sioni....

Huyu Joy Kendi atakupa siri ya kuwa ‘influensa’

NA SINDA MATIKO JOY Kendi ni miongoni mwa mafashonista wanaotetemesga hapa nchini. Lakini pia ni mtalii wa ndani na nje ya nchi. Kutokana...

Dorcas Rigathi ampamba DP Gachagua kwa maneno matamu

NA FRIDAH OKACHI MKE wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Bi Dorcas Rigathi, amempamba mume wake kwa maneno matamu akiadhimisha siku yake ya...

Zari asema hajaingiza mdudu kwa penzi la Mondi na Zuchu

NA FRIDAH OKACHI SOSHIOLAITI Zarinah Hassan ambaye wengi humuita Zari Hassan huku mwenyewe akipendelea kujiita Zari the Boss...

Oga Obinna ashangaa kuambiwa ustaa wake hauruhusu kuishi nyumba ya kupanga

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Steve Thompson Maghana almaarufu Oga Obinna, ameshangaa baada ya kuambiwa ni makosa makubwa kwa mtu maarufu...

Diamond Platnumz aelekea ‘Zenji’ kumuomba Zuchu msamaha

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI mmiliki wa lebo ya WCB Wasafi Naseeb Abdul Juma almaarufu Diamond Platnumz, yuko njiani kuelekea visiwani...

Zuchu sasa amtema Diamond, aahidi kumakinikia kazi WCB

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Zuhura Othman almaarufu Zuchu ametangaza rasmi kuvunjika kwa mahusiano yake mpenzi wake Diamond...

Nadia Mukami adai MCSK inamkausha pesa za mrabaha kwa muziki wake

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa mtindo wa Africapopster Nadia Mukami amejitokeza kulaumu Chama cha Hakimiliki za Muziki Nchini...

PK Salasya na DJ Pierra Makena wamezeana mate ‘kufanya biashara’

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Mumias Mashariki Peter Salasya na DJ Pierra Makena wanamezeana mate kiujanja, kila mmoja akitafuta fursa ya...

Charlene Ruto atangaza shindano la mshindi kuchomoka na Sh100,000

NA FRIDAH OKACHI BINTI wa Rais William Ruto, Charlene Ruto, amezindua shindano la ubunifu kwa kushirikisha vijana walio na ujuzi wa...