• Nairobi
  • Last Updated September 28th, 2023 10:25 PM

KASHESHE: Amber Lulu apata sapoti

NA SINDA MATIKO MASTAA wa burudani Tanzania wameungana kumsaidia ex wake rapa CMB Prezzo, msupa mwanamuziki Amber Lulu. Juzi kati...

KIPWANI: Hawa Nadra wan’leta ile vibe ya ‘Tatuu’

NA SINDA MATIKO MARA ya mwisho kwa tasnia yetu kuwahi kushuhudia kundi la muziki la kina dada ilikuwa ni katika miaka ya 2000. Unakumbuka...

KIKOLEZO: Mwaka umeanza na ‘vipindiree’

NA SINDA MATIKO MWAKA umeanza na tayari tumeanza kuwaona maceleb waliolewa kiki wakianza tena kukimbizana na vipindi au ukipenda...

KIPWANI: Akothee afungua roho

NA SINDA MATIKO MWANAMUZIKI mtatanishi na mjasiriamali kutokea Mombasa Akothe Okeyo amekuwa akitrendi sio kwa sababu ya muziki wake ila...

DOMO: Huyu Syokau atatoboa?

NA MWANAMIPASHO NILIDHANI tunaanza mwaka kivingine. Nilijua tunaanza upya hasa kwenye tasnia yetu ya Showbiz. Aisee! Kumbe...

DOMO: Funga-mwaka ya kwangu ni kwa mademu hawa…

NA MWANAMIPASHO BWANA wee, mwanzo pongezi sana kwa kufanikiwa kusukuma gurudumu la maisha mpaka sasa. Kama unavyojua leo ndio Ijumaa...

DOMO: Ni kweli hana haya

NA MWANAMIPASHO KASEMA mwenyewe, "nina kila kitu, nisicho nacho ni haya tu." Ni maneno yake Seneta Maalum Karen Nyamu. Sikatai....

KIPWANI: Hivi wamfahamu Gold Meddy?

NA FARHIYA HUSSEIN ALIVUMA sana kupitia ngoma yake ya DoriDori na kujulikana zaidi mpaka nchi jirani ya Tanzania iliyochangia pakubwa...

KASHESHE: Toto ajitetea

NA SINDA MATIKO MREMBO anayezidi kufanya vizuri Nikita Kering amefichua mustakabali wa mahusiano yake ikiwa ni siku chache tu baada ya...

DOMO: Aisee ukiwa mzembe, nyeti ndio zitaumia!

NA MWANAMIPASHO NDUGU zanguni leo nilikuwa niendelee na tulikoachia wiki iliyopita, ila bwana kuna haya mapya. Hivi mnazo hizo habari...

KIPWANI: Katoi wa Tabaka alivyosalia na ‘baby face’

NA SINDA MATIKO WAPO watu waliojaliwa neema ya kusalia na nyuso za kitoto hata umri uwasonge vipi. Mmoja wao ni Katoi wa Tabaka. Mara...

KIPWANI: Asema ‘views’ si hoja, bora muziki mzuri

NA SINDA MATIKO MWANADADA Laurriete Rota sio tu mwanamuziki anayetokea Pwani na hususan Mombasa, lakini pia yeye ni...