• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 2:19 PM

Wanaume wa SDA si washerati, asema mhubiri na kuvutia rundo la maoni

NA FRIDAH OKACHI WANAMITANDAO wamemkosoa Pasta Boaz Ouma wa kanisa la wasabato (Seventh-day Adventist Church) wakitaka aelezee...

Chipukizi wanaopania kuleta mwamko mpya katika Injili nchini

NA WANDERI KAMAU KWA miaka kadhaa sasa, kumekuwa na pengo kubwa katika tasnia ya muziki wa Injili nchini. Hili linafuatia hatua ya baadhi...

Msanii Nyashinski ateswa na kesi mahakamani

NA SINDA MATIKO KESI ya rapa Nyashinski imepigwa kalenda hadi Machi 13, 2024, ambapo anashtakiwa na produsa raia wa Nigeria kwa...

Sababu za wengi mashambani kumwagia Valentino maji baridi

NA WANDERI KAMAU LICHA ya Siku ya Valentino kuzua hisia na msisimko wa aina yake mnamo Jumatano miongoni mwa Wakenya, wakazi wengi katika...

Nuru Okanga adhihirisha ni wembe masomoni

NA FRIDAH OKACHI MFUASI na mtetezi sugu wa kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga, Nuru Okanga, kwa mara...

Miracle Baby wa muziki wa kidunia aapa kumtumikia Mungu

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Gengetone, Peter Mwangi almaarufu 'Miracle Baby' amefichua nia yake ya kuwa mhubiri pindi tu...

Men’s Conference: Kongamano la mashambulizi shtukizi ya kulinda ‘boychild’

NA WANDERI KAMAU MIAKA michache iliyopita, neno ‘Men’s Conference’, yaani Kongamano la Wanaume, lilikuwa tamko tu la kimzaha kwenye...

Azziad ajigamba ni Gen Z hodari wa kukoroga lugha ya mama

NA FRIDAH OKACHI VIJANA wengi wa kizazi cha sasa almaarufu Gen Z na Millenial, mara nyingi hujifanya hawajui lugha ya kwanza...

Madijei wanawake wanaowatoa wanaume jasho katika kucheza santuri

NA WANDERI KAMAU KUMEKUWA na dhana kwamba tasnia ya burudani, hasa utumbuizaji, hudhibitiwa na wanaume. Ni nadra sana kuwakuta...

Itumbi asifiwa kwa kusimama na ‘rafikiye’ Jacque Maribe

NA FRIDAH OKACHI MSHAURI wa kisiasa katika Serikali ya Kenya Kwanza Dennis Itumbi amechangamsha wanamitandao kwa kupakia barua ndefu...

Jinsi Khalwale alivyotegua kitendawili cha familia pana

NA MARY WANGARI SENETA wa Kaunti ya Kakamega Boni Khalwale amezua gumzo nchini baada ya kuwatambulisha wake zake wanne akiwemo yule...

Wanafunzi Moi wakubaliana na sheria ya kuzima vimini

NA TITUS OMINDE KAULI kwamba 'vazi langu ni chaguo langu' haina nafasi katika Chuo Kikuu cha Moi kufuatia hatua ya usimamizi wa chuo...