• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 12:16 PM

Filamu ya Bobi Wine yapata uteuzi Oscars

NA WANDERI KAMAU FILAMU iliyotayarishwa na mwanasiasa Robert Kyagulanyi almaarufu 'Bobi Wine' ambaye pia ni staa mkubwa wa muziki nchini...

Mr Seed akomoana na mkewe mtandaoni kwa kusema ‘mwanamume ni wa wanawake wengi’

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa nyimbo za Injili Moses Tarus Omondi almaarufu 'Mr Seed' ameomba msamaha kwa mkewe Nimo baada ya...

Mrembo wa kusaka mamilioni kwa mahindi aona dalili za ndoa 2027

NA MWANGI MUIRURI MWANAMKE aliyeapa kwamba ataolewa tu baada ya kuwa milionea katika kilimo cha mahindi, sasa anasema fatalaiza ya...

Wanandoa maarufu na mastaa Pascal Tokodi na Grace Ekirapa waachana

RAJAB ZAWADI NA FRIDAH OKACHI MIEZI kadhaa baada ya ndoa ya Philip Karanja maarufu kama Director Phil, na mwigizaji Kate Actress...

Jinsi YouTube inavyoendelea kuokoa vijana kujitengenezea mkwanja na kubadilisha maisha yao

NA WANDERI KAMAU KUTOKANA na kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira nchini na duniani kote, vijana wengi wamekuwa wakitafuta njia mbadala...

Eric Omondi kufanya mazungumzo na Jackie Maribe kujiondolea lawama ya ‘deadbeat’

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Eric Omondi amebainisha wazi kuwa anataka kujiondolea lawama ya ‘deadbeat’, jina linalotumiwa...

Karen Nyamu ajitetea baada ya Samidoh kufuata mkewe na watoto Amerika

NA FRIDAH OKACHI SIKU ya Ijumaa, Seneta Karen Nyamu alijipata pabaya baada ya shabiki mmoja mtandaoni kushinikiza kujua alipo...

Oga Obinna ataka jamii kuwaonea huruma wanaume wanaochapwa kwenye ndoa

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Steve Thompson Maghana almaarufu Oga Obinna ameshauri Wakenya kukoma kuwacheka wanaumme wanaopigwa na wake...

Obama amwaga jumbe za kumsifia mkewe

NA WANDERI KAMAU MKEWE aliyekuwa Rais wa 44 wa Amerika, Barack Obama, Michelle Obama, alifikisha umri wa miaka 60 tangu kuzaliwa kwake...

‘Hatuna tamaa sana, wanaume wa Kenya ndio mkono gamu’

FRIDAH OKACHI Na WANDERI KAMAU BAADHI ya wanafunzi wa kike katika vyuo vikuu na wanawake wanaotafuta wachumba jijini Nairobi, wanaomba...

Mapenzi yamlemea maskini Mondi akitangaza yuko singo

NA FRIDAH OKACHI YAONEKANA mwanamuziki staa wa Bongo flava Naseeb Abdul Juma almaarufu Diamond Platnumz ana mlima wa kukwea likija...

Mvunja mbavu Erico sasa aingilia ujenzi wa madaraja

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Eric Omondi almaarufu 'Erico' anaendelea kumiminiwa sifa mtandaoni kwa kujitolea kujenga daraja mojawapo...