NA WANDERI KAMAU WAZIRI wa Afya Susan Nakhumicha, amemteua bintiye Rais William Ruto, Charlene Ruto, kuwa Balozi wa Damu...
NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amemtunuka sifa msanii na mwanamuziki Stivo Simple Boy akionekana kufurahishwa...
NA ELIZABETH NGIGI ESTHER Musila, mke wa mwanamuziki wa nyimbo za Injili Guardian Angel, amefichua jinsi mwanamke tapeli alivyotaka...
NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Chris Embarambamba, ameendelea kuzua utata, mara hii, akitoa wimbo 'Style Mpya’ ambapo anaomba staili au...
Na SINDA MATIKO KAMA utakuwa unakumbuka, Mei 2022 taifa likiwa linakaribia Uchaguzi Mkuu, bendi ya Sauti Sol iliiba vichwa vya habari...
NA MWANGI MUIRURI MCHESHI Eddie Butita,31, 'amewawon' wasanii wa kiume dhidi ya kurusha mistari kwa warembo kutoka kwa familia zenye...
NA WANDERI KAMAU JE, alama anayopata mwanafunzi katika Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) ni ishara ya mafanikio atakayopata...
NA MWANGI MUIRURI BAADA ya kujipata pabaya mwaka 2023 alipohusishwa na kifo cha Jeff Mwathi, msanii tajika DJ Fatxo,27, sasa amekiri...
NA FRIDAH OKACHI MWANASIASA na mfanyabiashara Alinur Mohammed, amekemewa vikali na watumiaji wa mitandao ya kijamii kufuatia chapisho...
NA RAJAB ZAWADI DJ Pierra Makena, mmoja wa washereheshaji wakongwe hapa nchini anakiri wazi wazi kwamba mashabiki na wafuasi wake...
Na RAJAB ZAWADI RAPA mwenye uwezo wa kuimba vile vile Sylvia Ssaru almaaarufu Ssaru wa Manyaru kadai sababu zake kupenda kutunga nyimbo...
NA WANDERI KAMAU WASANII wengi waliovuma katika enzi zao nchini, sasa wanaishi katika hali ya upweke na mahangaiko, hali ambayo imeibua...