• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:55 AM

Charlene Ruto ateuliwa balozi wa damu baada ya kunyamazia suala la ikiwa Daddy Owen ni wake damu damu

NA WANDERI KAMAU WAZIRI wa Afya Susan Nakhumicha, amemteua bintiye Rais William Ruto, Charlene Ruto, kuwa Balozi wa Damu...

Babu Owino amfagilia Stivo Simple Boy akipendezwa na bongo lake la biashara

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amemtunuka sifa msanii na mwanamuziki Stivo Simple Boy akionekana kufurahishwa...

Esther Musila amuaibisha mwanamke tapeli aliyedai Guardian Angel ni mhanyaji

NA ELIZABETH NGIGI ESTHER Musila, mke wa mwanamuziki wa nyimbo za Injili Guardian Angel, amefichua jinsi mwanamke tapeli alivyotaka...

Embarambamba aomba ‘Style Mpya’

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Chris Embarambamba, ameendelea kuzua utata, mara hii, akitoa wimbo 'Style Mpya’ ambapo anaomba staili au...

Tulimalizana na Raila kiungwana, hatukufika mahakamani – Sauti Sol

Na SINDA MATIKO KAMA utakuwa unakumbuka, Mei 2022 taifa likiwa linakaribia Uchaguzi Mkuu, bendi ya Sauti Sol iliiba vichwa vya habari...

Eddie Butita: Ukitafuta mapenzi kwa familia ‘high-class’ simu yako inanuswa

NA MWANGI MUIRURI MCHESHI Eddie Butita,31, 'amewawon' wasanii wa kiume dhidi ya kurusha mistari kwa warembo kutoka kwa familia zenye...

Miguna Miguna amrudisha Larry Madowo darasani

NA WANDERI KAMAU JE, alama anayopata mwanafunzi katika Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) ni ishara ya mafanikio atakayopata...

DJ Fatxo asema 2024 ni mwaka wa kumweka Mungu mbele

NA MWANGI MUIRURI BAADA ya kujipata pabaya mwaka 2023 alipohusishwa na kifo cha Jeff Mwathi, msanii tajika DJ Fatxo,27, sasa amekiri...

KCSE: Alinur Mohamed akemewa kudai E nyingi ni sababu ya walimu

NA FRIDAH OKACHI MWANASIASA na mfanyabiashara Alinur Mohammed, amekemewa vikali na watumiaji wa mitandao ya kijamii kufuatia chapisho...

Nitaanza kutoka na vibenten kwa jinsi mnavyonisema, atishia DJ Pierra Makena

NA RAJAB ZAWADI DJ Pierra Makena, mmoja wa washereheshaji wakongwe hapa nchini anakiri wazi wazi kwamba mashabiki na wafuasi wake...

Ssaru adai muziki ‘mchafu’ unamwingizia posho kuliko ule wenye maadili

Na RAJAB ZAWADI RAPA mwenye uwezo wa kuimba vile vile Sylvia Ssaru almaaarufu Ssaru wa Manyaru kadai sababu zake kupenda kutunga nyimbo...

Burudani: Waliovuma zama zao kuteseka hadi lini?

NA WANDERI KAMAU WASANII wengi waliovuma katika enzi zao nchini, sasa wanaishi katika hali ya upweke na mahangaiko, hali ambayo imeibua...