• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

Kanisa lasisitiza umuhimu wa elimu ya ngumbaru kuzima uhasama Turkana

NA LAWRENCE ONGARO KANISA la Glory Outreach Assembly (GOA) la Kahawa Wendani, limezindua mahamasisho ya kuhimiza watu wazima kukumbatia...

LUGHA NA FASIHI: Tafsiri ya riwaya ‘The Alchemist’

Na CHRIS ADUNGO MWANDISHI Ali Attas ni bingwa wa kutumia ala mbalimbali za fasihi kusawiri taratibu za maisha ya wanajamii kupitia tungo...

Kauli ya Wallah: Baada ya mtihani wa shuleni, sasa fahamu kuna mitihani ya maisha duniani!

NA WALLAH BIN WALLAH KWANZA kabisa niwapongeze wanafunzi wote wapendwa waliovumilia kutumia muda wao wa miaka mingi kusoma shuleni hadi...

Wakereketwa wa Kiswahili wamuenzi mwenzao Kericho kwa mchango wake katika lugha

NA WANTO WARUI Chama Cha Wakereketwa wa Kiswahili kinachoitwa 'NIENZI NINGALI HAI' hapo jana kilimtembelea mmoja wao katika sehemu za...

NDIVYO SIVYO: Upatanisho wa kisarufi unavyowatatiza wengi

NA NYARIKI NYARIKI KUTOPATANISHWA vyema kwa tungo kisarufi ni mojawapo ya makosa ambayo hujidhihirisha aghalabu katika lugha ya Kiswahili....

GWIJI WA WIKI: Abel Nyamari

NA CHRIS ADUNGO KUANDIKA kazi yoyote ya fasihi kunahitaji wakati, utulivu na wito wa ndani ya nafsi. Huwezi kujilazimisha...

FASIHI SIMULIZI: Soma kisa kifuatacho kisha ujibu maswali

HAPO zamani za kale paliishi mtoto katika bustani fulani. Siku moja, alipokuwa akitembea katika bustani hiyo aliona ua lililokuwa...

Siri ya kumudu Karatasi ya Pili ya KCSE Kiswahili kama mtahiniwa

Na CHRIS ADUNGO KARATASI ya Pili katika KCSE Kiswahili huwa na sehemu nne – Ufahamu, Muhtasari/Ufupisho, Sarufi na Matumizi ya Lugha na...

Mshairi anayeishi na ulemavu wa ngozi ajizolea sifa ndani na nje ya Lamu

NA KALUME KAZUNGU ALIDINDA kabisa kusalia ndani ya nyumba sawa na walemavu wengi ambao mara nyingi huishia kufichwa chumbani kutokana na...

Kaburi la bahati nzuri lavutia watalii kutoka pembe zote za dunia

NA KALUME KAZUNGU JINA la Mwanahadie Famau linatambuliwa na wengi, hasa katika jamii ya Waswahili Wabajuni wa asili ya Lamu. Ni mwanamke...

Kutana na Mzee Mohamed Mbwana Shee almaarufu ‘Kamusi ya Lamu Inayotembea’

NA KALUME KAZUNGU WELEDI wake na ufahamu wa ndani na nje kuihusu historia ya Lamu, jamii ya Wabajuni na maendeleo yao umewashinda hata...

Dini inavyokuza maudhui katika riwaya ‘Chozi la Heri’

NA JOYCE NEKESA JUMA hili tutarejelea suala la dini linavyoendeleza maudhui katika riwaya ya ‘Chozi la Heri’ tukirejelea swali...