NA LAWRENCE ONGARO KANISA la Glory Outreach Assembly (GOA) la Kahawa Wendani, limezindua mahamasisho ya kuhimiza watu wazima kukumbatia...
Na CHRIS ADUNGO MWANDISHI Ali Attas ni bingwa wa kutumia ala mbalimbali za fasihi kusawiri taratibu za maisha ya wanajamii kupitia tungo...
NA WALLAH BIN WALLAH KWANZA kabisa niwapongeze wanafunzi wote wapendwa waliovumilia kutumia muda wao wa miaka mingi kusoma shuleni hadi...
NA WANTO WARUI Chama Cha Wakereketwa wa Kiswahili kinachoitwa 'NIENZI NINGALI HAI' hapo jana kilimtembelea mmoja wao katika sehemu za...
NA NYARIKI NYARIKI KUTOPATANISHWA vyema kwa tungo kisarufi ni mojawapo ya makosa ambayo hujidhihirisha aghalabu katika lugha ya Kiswahili....
NA CHRIS ADUNGO KUANDIKA kazi yoyote ya fasihi kunahitaji wakati, utulivu na wito wa ndani ya nafsi. Huwezi kujilazimisha...
HAPO zamani za kale paliishi mtoto katika bustani fulani. Siku moja, alipokuwa akitembea katika bustani hiyo aliona ua lililokuwa...
Na CHRIS ADUNGO KARATASI ya Pili katika KCSE Kiswahili huwa na sehemu nne – Ufahamu, Muhtasari/Ufupisho, Sarufi na Matumizi ya Lugha na...
NA KALUME KAZUNGU ALIDINDA kabisa kusalia ndani ya nyumba sawa na walemavu wengi ambao mara nyingi huishia kufichwa chumbani kutokana na...
NA KALUME KAZUNGU JINA la Mwanahadie Famau linatambuliwa na wengi, hasa katika jamii ya Waswahili Wabajuni wa asili ya Lamu. Ni mwanamke...
NA KALUME KAZUNGU WELEDI wake na ufahamu wa ndani na nje kuihusu historia ya Lamu, jamii ya Wabajuni na maendeleo yao umewashinda hata...
NA JOYCE NEKESA JUMA hili tutarejelea suala la dini linavyoendeleza maudhui katika riwaya ya ‘Chozi la Heri’ tukirejelea swali...