• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 6:27 PM

GWIJI WA WIKI: Peter Ndung’u

NA CHRIS ADUNGO MWALIMU mwenye mapenzi ya dhati kwa taaluma yake huwa na msukumo wa kutaka kujifunza mambo mapya. Zaidi ya kuchangamkia...

MIZANI YA HOJA: Omba Mungu sana ili akupe uwezo pamoja na mawazo ya kufikiri uishi vizuri duniani

NA WALLAH BIN WALLAH KUFIKIRI ni kazi. Kufikiri kunamsaidia mtu kufikiria atakavyoishi, atakavyokula, atakavyovaa na atakavyopata mahitaji...

GWIJI WA WIKI: Subiri Jay

NA CHRIS ADUNGO NDOTO ya kuwa mwanamuziki ilianza kumtambalia Subiri Jay katika umri mdogo. Wazazi wake walimruhusu ajiunge na makundi...

MWALIMU WA WIKI: Ni mwalimu mwandishi anayelenga uanahabari

NA CHRIS ADUNGO YEYOTE ambaye amesomea kazi ya ualimu anatakiwa kuwa kielelezo chema, mwadilifu na mwajibikaji. Zaidi ya kuwa mbunifu...

TALANTA: Gwiji wa sataranji

NA RICHARD MAOSI MCHEZO wa Sataranji almaarufu Chess unaweza kuchezwa na kundi la watu wenye umri wowote, sehemu yoyote ikiwemo ndani na...

GWIJI WA WIKI: Dotto Rangimoto

NA CHRIS ADUNGO MWANDISHI asiye na ujuzi wa kutumia lugha kwa ufundi hukosa uhuru wa kusema anachokitaka kwa jinsi anavyotamani kifikie...

MWALIMU WA WIKI: Mwalimu kiongozi alengaye uhadhiri

Na CHRIS ADUNGO MWALIMU aliye na wito wa kufundisha na mapenzi ya dhati kwa taaluma yake, ana jukumu la kuchochea wanafunzi wake kupiga...

TALANTA YANGU: Favour ni nyota katika uigizaji

NA PATRICK KILAVUKA ANASEMA kukipenda unachokifanya ni njia ya kukuza hamu na ari ya kukifanya kwani kipendacho roho hula nyama...

MALENGA WA WIKI: Zamu leo ni ya msomi maarufu na mshairi kutoka Tanzania

NA HASSAN MUCHAI LEO tumebahatika kumpata mshairi, mhadhiri, mwanafalsafa , mtetezi wa dini na msomi maarufu kutoka taifa jirani la...

Washindi wa insha za ‘Taifa Leo’ watuzwa Sh50,000 kila mmoja

NA CHRIS ADUNGO WANAFUNZI sita walioibuka mabingwa wa kitaifa katika ‘Shindano la Uandishi wa Insha za Taifa Leo’ katika miaka ya...

Kiswahili na Viswahili: Je, kuna haja au hatari yoyote ya kuwa na aina moja tu ya Kiswahili Sanifu?

NA PROF IRIBE MWANGI MNAMO Novemba 24 mwaka jana (2022), niliandika kumhusu Mzee Abdilatif Abdala nikasema: (yeye ni) jagina, ustadh,...

NDIVYO SIVYO: Tofauti iliyopo baina ya maneno ‘moyo’ na ‘roho’

NA ENOCK NYARIKI LUGHA za kwanza hukumbwa na utata katika kupambanua msamiati ‘roho’ na ‘moyo’. Waama, katika lugha hizo, halipo...