• Nairobi
  • Last Updated June 3rd, 2023 5:43 PM

USHAURI NASAHA: Thamini mazoezi ya kimwili hata sasa ufanyapo mtihani

NA HENRY MOKUA KILA shule inapojitahidi kuimarisha matokeo ya wanafunzi wayo masomoni hasa wakati huu wa mitihani ya kitaifa, nyingi...

NDIVYO SIVYO: Tofauti ya maneno angalau na aghalabu

NA ENOCK NYARIKI MARA nyingi, watu hujikuta wakilitumia neno ‘angalau’ katika muktadha wa ‘ingawa’ au ‘aghalabu’. Maumbo...

NGUVU ZA HOJA: Tuhifadhi kiteknolojia utajiri wa fasihi yetu ili tufae vizazi vijavyo

NA PROF CLARA MOMANYI FASIHI ni njia moja ya kuendeleza utamaduni wa jamii ambao pia ni ujumla wa maisha ya jamii hiyo. Kupitia kwa...

NGUVU ZA HOJA: Tuwafanye raia wa kigeni nchini kuwa mabalozi wema wa lugha ya Kiswahili

NA PROF IRIBE MWANGI JUMA lililopita Chuo Kikuu cha Nairobi kiliadhimisha Siku ya Wanafunzi wa Kigeni. Chuo kina wanafunzi wa kigeni...

MWALIMU WA WIKI: Ni mwalimu afunzaye kwa kutumia nyimbo

NA CHRIS ADUNGO MATUMIZI ya nyimbo darasani hufanya wanafunzi kuelewa mambo haraka, huwaamshia hamu ya kujifunza dhana mpya na huwafanya...

PAUKWA: Makopo adhihirisha ‘ukupigao hukufunza’

NA ENOCK NYARIKI AKILI za Katiti zilisuka kwa haraka jibu ambalo angempa baba yake na ambalo lingemfanya kumeza joto alilokuwa nalo...

TALANTA: Dogo mkali wa tenisi

NA PATRICK KILAVUKA AMEZAMIA katika kukuza kipaji cha tenisi kwa kuiga mchezaji mahiri Angela Okutuyi ambaye amekuwa mwiba katika ulingo...

NGUVU ZA HOJA: Ufala aliouzungumzia Rais Ruto unaweza kupimwa kwa ratili?

NA PROF IRIBE MWANGI SIKU ya Jumatano nilikuwa ninaongea na kakangu mmoja kwa njia ya simu. Baada ya mazungumzo kuhusu mambo ya...

MIZANI YA HOJA: Jipangie jinsi ya kuendelea kuishi vizuri wakati wa mtihani na baada ya mtihani

NA WALLAH BIN WALLAH MITIHANI ni sehemu ya maisha ya kila siku kwa mwanadamu. Kuna mitihani sampuli nyingi sana maishani kama vile...

GWIJI WA WIKI: DJ Kezz

NA CHRIS ADUNGO NDOTO ya kuwa mwanamuziki ilianza kumtambalia Keziah Jerono Rachel katika umri mdogo. Mamaye mzazi alimruhusu...

MWALIMU WA WIKI: Mbunifu, mtafiti na mwajibikaji pia

NA CHRIS ADUNGO FAHARI kubwa ya mwalimu ni kuona mtoto aliyeingia shuleni bila kujua lolote akipiga hatua kubwa katika safari ya elimu...

NGUVU ZA HOJA: Tujifunze Kiswahili kutoka kwa wazee mikota wenye tajiriba pevu

NA PROF IRIBE MWANGI JUMATATU nilikuwa na kikao na watu muhimu katika ulimwengu wa Kiswahili. Mmoja wao ni Balozi Wanjohi,...