• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Kiswahili na Viswahili: Je, kuna haja au hatari yoyote ya kuwa na aina moja tu ya Kiswahili Sanifu?

NA PROF IRIBE MWANGI MNAMO Novemba 24 mwaka jana (2022), niliandika kumhusu Mzee Abdilatif Abdala nikasema: (yeye ni) jagina, ustadh,...

NDIVYO SIVYO: Tofauti iliyopo baina ya maneno ‘moyo’ na ‘roho’

NA ENOCK NYARIKI LUGHA za kwanza hukumbwa na utata katika kupambanua msamiati ‘roho’ na ‘moyo’. Waama, katika lugha hizo, halipo...

USHAURI NASAHA: Hakikisha una mwanzo mzuri na imara katika ngazi mpya masomoni

NA HENRY MOKUA KILA mara jambo jipya huzua uchangamfu unaofungamana na wasiwasi wa namna fulani. Anayelitazamia huvutiwa na wazo...

NGUVU ZA HOJA: Vyuo anuwai vitumie sasa Kiswahili kufunzia kozi ya ‘Mbinu za Mawasiliano’

NA PROF JOHN KOBIA HIVI majuzi nilisoma tangazo la kozi mbalimbali zinazotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Utabibu cha Kenya (Kenya Medical...

Vitushi katika hadithi fupi ‘Mapambazuko’

MZEE Makutwa na Mzee Machuka ni mahirimu waliosuhubiana tangu utotoni. Kabla ya kustaafu, walikuwa watumishi wa umma. Mzee Makutwa alikuwa...

GWIJI WA WIKI: Eunice Kemunto

Na CHRIS ADUNGO KISWAHILI ni miongoni mwa lugha kuu za Kiafrika zinazozungumzwa na idadi kubwa zaidi ya watu duniani. Sensa ya Canada ya...

TAMTHILIA: Mtiririko wa matukio katika Sehemu ya I, Onyesho la III

JUMA hili tuangalie mtiririko wa matukio katika Sehemu I, Onyesho III. Hapa ni nyumbani kwa Sara, jikoni. Mandhari huonyesha mahali. Dina...

MWALIMU WA WIKI: Kirika atamba si darasani si ugani

Na CHRIS ADUNGO MWALIMU bora ni rafiki wa wanafunzi wote anaowafundisha. Kutokana na ukaribu wao, wanafunzi huwa radhi kabisa kumweleza...

PAUKWA: Mchelea mwana kulia hulia yeye mwenyewe

NA ENOCK NYARIKI GIZA la kaniki lilitanda kote katika shule ya wavulana ya Jitahidi. Sauti pekee zilizosikika japo kwa aliyepita nje ya...

TALANTA YANGU: Dogo mkali wa kubofya piano

NA RICHARD MAOSI MAFUNZO ya namna ya kucheza piano huendeshwa hatua kwa hatua kwa sababu kila kibonye cha kibodi hutoa sauti tofauti. Kwa...

NGUVU ZA HOJA: Lugha ya Kiswahili ina uwezo wa kuimarisha umajumui wa mataifa ya bara zima la Afrika

NA PROF CLARA MOMANYI KARNE chache zilizopita, Kiswahili kilichukuliwa kama lugha ya watu wa chini kijamii. Kilichukuliwa kama lugha...

MWALIMU WA WIKI: Gikundi mwalimu tajiri wa hamasa

NA CHRIS ADUNGO MWALIMU mwenye wito wa kufundisha na mapenzi ya dhati kwa taaluma yake, ana jukumu zito la kuchochea wanafunzi wake...