• Nairobi
  • Last Updated December 6th, 2023 9:00 PM

Hivi mnajua anachofanya mkewe Guardian Angel kudumisha shepu mnayoiona?

NA SINDA MATIKO MKE wa msanii wa injili Guardian Angel, Esther Musila mwenye umri wa miaka 52, amefichua siri ya umbo na mwonekano wake wa...

Harusi hatuna: Jinsi gharama imeingiza baridi wapenzi waliotaka kufunga harusi 2023

NA WINNIE ONYANDO GHARAMA ya maisha inapoendelea kupanda, wapenzi wanaopanga harusi sasa wamebaki njia panda kwani bei za bidhaa...

LUGHA NA FASIHI: Tafsiri ya riwaya ‘The Alchemist’

Na CHRIS ADUNGO MWANDISHI Ali Attas ni bingwa wa kutumia ala mbalimbali za fasihi kusawiri taratibu za maisha ya wanajamii kupitia tungo...

Muuzaji wa kuku anayefukuzana na ndoto kuwa wakili

NA VITALIS KIMUTAI VIJANA wenzake walipokuwa wakijihusisha na kazi na maisha ya familia, Kibet Maritim Agustine kutoka kijiji cha Masare...

Niliteswa kama mbwa: Mwanamke asimulia ukatili wa kutisha akiwa mjakazi Saudi Arabia

NA MERCY KOSKEI Lucy Wanjiku, mwenye umri wa miaka 45 kutoka kijiji cha Ngodu, Njoro, Kaunti ya Nakuru, aliondoka Kenya kuelekea...

Mshangao chatu mkubwa akipatwa jumba la kifahari wakati wa ubomozi

SHABAN MAKOKHA na CECIL ODONGO Kulikuwa na mshangao Jumatano Novemba 29, 2023 baada ya joka kubwa kupatikana kwenye makazi ya kifahari...

Kauli ya Wallah: Baada ya mtihani wa shuleni, sasa fahamu kuna mitihani ya maisha duniani!

NA WALLAH BIN WALLAH KWANZA kabisa niwapongeze wanafunzi wote wapendwa waliovumilia kutumia muda wao wa miaka mingi kusoma shuleni hadi...

Eropleni inayotumia mafuta ya wanyama  

NA WINNIE ONYANDO NDEGE ya kwanza kabisa kuwahi kutumia kawi endelevu (sustainable energy) duniani ilianza safari yake rasmi Jumatatu,...

Matineja wazazi wanusuriwa kutoka hali ngumu ya uchumi kwa kufunzwa mbinu za kujikimu

NA FRIDAH OKACHI WASICHANA 20 chini ya umri wa miaka 18, walio na watoto eneo la Enchoro Emunyi, Ngong, wamepata mafunzo ya kutengeneza...

Anavyojitahidi kufufua mahindi ya rangi

NA SAMMY WAWERU  JAMES Kaliba amekuwa kwenye kilimo kwa muda mrefu, na ipatayo miaka miwili iliyopita alibadilisha mifumo anayotumia...

Bila shamba la ekari 50 hutamuoa Awinja, waume wanaommezea mate waambiwa

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI na mwanakotenti Jacky Vike almaarufu Awinja, ameweka wazi anahitaji mwanamume atakayemuoa ila atahitaji kuona...

‘Nililazimika kuacha shule nikaolewa, nikazaa watoto watatu, nikarejea na bado nimewika KCPE’

NA JOHN NJOROGE Baada ya kuacha shule kwa miaka saba, Bi Olivia Chepngeno hakuweza kuficha furaha yake matokeo ya KCPE 2023 yalipotolewa...