• Nairobi
  • Last Updated May 29th, 2023 9:37 PM

Empower Smart yabuni apu ya kudhibiti ‘pocket money’

Na MAGDALENE WANJA KUKIDHI mahitaji ya mwanafunzi chuoni sio jambo rahisi kwa mzazi mwenye watoto zaidi ya mmoja. Changamoto kuu huwa...

Gesora Mwasi: Kuuza bidhaa mitandaoni kwahitaji ubunifu wa hali ya juu

NA MAGDALENE WANJA Je, ushawahi kufahamu manufaa ya kuwa mkwasi katika matumizi ya mitandao? Kijana Gesora Mwasi alianza kuvuna hela...

Akothee afichua kuanza kumeza dawa za kusaidia kushika mimba, akimtii mumewe na kuondoka nchini

Na MWANDISHI WETU MWANAMUZIKI Esther Akoth almaarufu Akothee amemtii mumewe na kuondoka nchini. Akothee alikuwa ameombwa na mumewe...

Rachel Hellen Waithira: Siri ya mafanikio ni kujua kukabiliana na mchecheto jukwaani

NA MAGDALENE WANJA MWIGIZAJI Rachel Hellen Waithira ana tajriba ya kudhihirisha talanta yake si tu akiwa ukumbini lakini pia anapoigiza...

MAPISHI KIKWETU: Mchuzi wa uyoga

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com UYOGA hujulikana sana kwa ladha yake nzuri na faida za kiafya. Uyoga pia huwa na vitamini...

Viungo maalum vya nyama vinateka soko moto

NA SAMMY WAWERU VIUNGO maalum vya nyama za mifugo, vimethibitisha kuteka masoko yenye ushindani mkuu ndani na nje ya nchi. KenMeat,...

MAPISHI KIKWETU: Skonzi zilizotiwa zabibu kavu

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com Muda wa kuandaa: Saa 2 Muda wa mapishi: Dakika 40 Walaji: 3 Vinavyohitajika ...

MAPISHI KIKWETU: Sambusa za kuku

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com SAMBUSA ya kuku kwa kawaida huwa na mchanganyiko wa viungo na huwa na ladha ya...

Fahamu kwa nini unapaswa kula dengu mara kwa mara

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com MILO inayotokana na mimea inazidi kuwa maarufu huku dengu zikiwa miongoni mwa vyakula...

ULIMBWENDE: Ili usiwe na chunusi, epuka vyakula hivi

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com VYAKULA fulani vinaweza kuchangia chunusi kwa kusababisha kutokea kwa uvimbe au kuchochea...

Auntie Jemimah: Nilishika mimba nyingine miezi mitatu baada ya kupoteza ujauzito

Na MWANDISHI WETU MTANGAZAJI na mwigizaji Mercy Nguri almaarufu Auntie Jemimah amesema kuwa alishika mimba miezi mitatu baada ya...

Zingatia mambo haya uishi na watu vizuri

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com USIMPIGIE mtu simu zaidi ya mara mbili mfululizo. Ikiwa unayempigia hajapokea simu yako,...