• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Msiba wa mwana wamleta hadharani ‘mpoa’ wa KarehB

NA MWANGI MUIRURI AJALI ya barabarani iliyosababisha kifo cha Joseph Mwadulo, ambaye alikuwa mwanafunzi wa Kidato cha Nne katika shule...

Kifo cha Jenerali Ogolla chatajwa pigo kwa urejeshaji amani Bondeni

NA OSCAR KAKAI VITA dhidi ya wizi wa mifugo na utovu wa usalama Kaskazini mwa Bonde la Ufa vimekuwa kibarua kigumu kwa serikali zote...

FATAKI: Tumalize dhana na fikra potovu kabla ya kuamua kuwakosoa wale wanaojichubua ngozi

NA PAULINE ONGAJI HIVI majuzi nilikuwa mtandaoni na kukumbana na video ya Bi Zozibini Tunzi, malkia wa urembo kutoka Afrika Kusini,...

Seneta Joe Nyutu kufadhili ubunaji wa sheria ya mikopo bila riba kwa walemavu

NA MWANGI MUIRURI SENETA wa Murang'a Joe Nyutu amesema atafadhili ubunaji wa sheria ya kuweka ulazima wa taasisi za kifedha kutoa mikopo...

Mazingira tulivu ya Kefri Lamu yafananishwa na bustani ya Edeni

NA KALUME KAZUNGU MANDHARI tulivu na yenye uasilia, ikiwemo miti ya kale na nyasi safi kwenye ofisi za Taasisi ya Utafiti wa Misitu...

Murkomen ashikilia hakuna jipya takwimu za ajali

NA MWANGI MUIRURI HUKU nduru zikitanda barabarani kupitia ajali kiholela zinazosababisha Wakenya wengi na hata wageni kupoteza maisha,...

Usimpe mke presha ya kukuzalia kijanadume – Nameless

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI David Mathenge almaarufu Nameless amesema presha za mashabiki kwamba yeye na mkewe Wahu walitarajia mtoto...

Mwanamke aliyetaka kujirusha majini afaulu biashara ya utalii 

NA PETER CHANGTOEK NAOMI Ogutu alipoabiri ndege pamoja na wanawe mwaka 2012, alijipa matumaini kwamba, ifikapo mwaka wa kumi akiishi...

Tanzia: Ex-mume wa Lady JayDee aaga dunia

NA SINDA MATIKO ALIYEKUWA mumewe nyota mkongwe wa Bongo Flava Lady JayDee, mtangazaji maarufu Gardner 'Captain' Habash amefariki...

Barobaro ‘mwelewa shida’ ajitokeza kuwafaa wanafunzi, vijana mabandani

NA WANDERI KAMAU MKENYA anayeishi katika mitaa ya mabanda atakuambia maisha si rahisi hata kidogo. Hayo ndio maisha ambayo barobaro...

Masaibu bondeni Kerio yahusishwa na nguvu za giza

NA OSCAR KAKAI TANGU serikali ilipotangaza operesheni ya Maliza Uhalifu katika eneo la Kerio Valley, kumeshuhudiwa matukio mengi...

Uchaguzi wa mashinani unavyotishia UDA, ODM

NA BENSON MATHEKA VYAMA viwili vikubwa vya kisiasa nchini vinakabiliwa na wakati mgumu vinapojiandaa kwa uchaguzi wa mashinani ambao...