Faida za kula zukini

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com ZUKINI ni chanzo cha madini ya potasiamu. Potasiamu husaidia kuweka misuli yetu kufanya...

MIZANI YA HOJA: Ni vizuri kutenda wema maishani lakini usitende wema zaidi ya uwezo wako

NA WALLAH BIN WALLAH KWA hakika tunakubaliana sana na mafunzo ya kidini yasemayo kwamba umpende jirani kama unavyojipenda wewe...

HADITHI FUPI: Mbinu za kimtindo katika ‘Mapambazuko’

MWANDISHI ametumia mbinu anuai katika hadithi Fupi Mapambazuko. Naomba tudondoe kadhaa zifuatazo: Majazi - majina yaliyotumiwa...

TAMTHILIA: Mtiririko wa matukio katika sehemu 11, Onyesho I

JUMA hili tuangazie mtiririko wa matukio katika sehemu 11, onyesho I. Mandhari: Ni alasiri, nyumbani kwa Neema, mjini. Neema na mamake...

GWIJI WA WIKI: Peter Ndung’u

NA CHRIS ADUNGO MWALIMU mwenye mapenzi ya dhati kwa taaluma yake huwa na msukumo wa kutaka kujifunza mambo mapya. Zaidi ya kuchangamkia...

Majengo ya sasa si kama ya zamani

NA FARHIYA HUSSEIN ENEO la Majengo katika Kaunti ya Mombasa miaka kumi ya nyuma lilifahamika kuwa ni kitovu cha uhalifu kwa sababu...

UJASIRIAMALI: Ana magari ya wateja kulipia wayatumie kwa muda fulani

NA MAGDALENE WANJA BAADA ya kufanya biashara za aina mbalimbali, ikiwemo ya mitumba, Bw Simon Kibe aligundua kuwa kulikuwa na pengo...

ZARAA: Kifaa cha mkono kuchuma chai, kupunguza gharama

NA SAMMY WAWERU MOJAWAPO ya changamoto kuu inayogubika wakulima wa majanichai eneo la Githunguri, Kaunti ya Kiambu ni gharama ya...

MITAMBO: Mseto wa mitambo 2 kuandaa lishe kamilifu

NA RICHARD MAOSI UHAKIKA wa kupata malisho ni mojawapo ya changamoto zinazowakumba wakulima na wafugaji hasa kipindi hiki cha ukame. Hii...

Ufugaji bata wanawiri kupitia lishe ya wadudu

NA LABAAN SHABAAN UKIINGIA katika shamba la Ololo eneo la Kajiado Kaskazini kilomita 25 kutoka Jiji la Nairobi, utakaribishwa na sauti za...

TIBA NA TABIBU: Wakenya wapokea chanjo kudhibiti kipindupindu

NA WANGU KANURI WAKENYA zaidi ya milioni mbili wamepokea chanjo dhidi ya ugonjwa wa kipindupindu. Chanjo hii itapewa watu wote walio na...

SHINA LA UHAI: Abainisha mchango wa wanaume katika upangaji uzazi

NA WANGU KANURI BAADA ya kumpata kitinda mimba wake, mnamo 2014, Tony Hutia aliamua kukatwa mrija wa uzazi (vasectomy). Baba huyo wa...