• Nairobi
  • Last Updated May 29th, 2023 9:37 PM

Umuhimu na faida ya magnesiamu mwilini

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com MAGNESIAMU ni madini muhimu ambayo mwili wako hautengenezi kumaanisha ni lazima uyapate...

Idadi ya chui yapungua Maasai Mara

Na RICHARD MUNGUTI WAHIFADHI wa Wanyamapori wameeleza masikitiko yao kwa kuendelea kupungua kwa idadi ya chui katika hifadhi ya kitaifa...

MAPISHI KIKWETU: Mchicha

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com KITOWEO cha mchicha hupikwa kwa sufuria moja ambapo mwanzo mchicha uliokatwakatwa hupikwa na...

Akothee na Jaguar wakabana koo kuhusu utajiri

NA MERCY KOSKEI WAZIRI msaidizi (CAS) Charles Njagua almaarufu Jaguar na mwimbaji Esther Akoth – Akothee wameendelea kupimana nguvu...

Alai na Sonko wavuana mashati mtandaoni

Na MWANDISHI WETU MWAKILISHI wa wadi ya Kileleshwa Robert Alai amemsuta aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko kwa kujinasa videoni...

Yesu Wa Tongaren sasa ni huru kusafisha dhambi za Wakenya

NA SAMMY WAWERU MHUBIRI Eliud Simiyu maarufu kama Yesu Wa Tongaren ameachiliwa huru baada ya Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya...

Vidokezo mahususi kwa vijana kupunguza uzani

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com KUPUNGUZA uzani wa mwili kwa kiasi fulani kunaweza kuboresha afya. Kunafanya mja kujistahi,...

SIHA NA LISHE: Tunda la chenza

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com CHENZA ni tunda la jamii ya chungwa lenye ganda laini. Hivyo ni rahisi kulimenya tunda...

MAPISHI KIKWETU: Leo tunapika samaki ambapo tangawizi na krimu ya nazi ikiwa miongoni mwa viungo muhimu

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com Muda wa kuandaa: Dakika 15 Muda wa mapishi: Dakika 20 Walaji: 2 Vinavyohitajika ...

KUKABILI TATIZO: Uvimbe chini ya macho

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com WATU wengi hukabiliwa na uvimbe chini ya macho mara kwa mara. Baadhi ya sababu ni kukosa...

SHINA LA UHAI: Safari yake kushughulikia mtoto wake mwenye utindio wa ubongo

NA PAULINE ONGAJI MIAKA mitatu iliyopita, Bi Ednah Mokeira, 35, mkazi wa mtaa wa Kasarani, Kaunti ya Nairobi, aliingia hospitali ya...

Sonko awaka moto, akijigamba na hela kama njugu

NA SAMMY WAWERU  ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Mike Sonko amegeuka kuwa gumzo la mitandao, kufuatia ufichuzi wa michuzi ya hela...