• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 1:29 PM

Tanzania yapiga hatua ndege zikitengenezewa nchini humo

THE CITIZEN Na WANDERI KAMAU TANZANIA imepiga hatua mpya katika sekta ya uchukuzi wa ndege, kufuatia kutengenezwa kwa ndege tatu mpya...

Putin ajigamba kwa ‘jeuri’ baada ya ushindi mkubwa Jumapili

NA WANDERI KAMAU RAIS wa Urusi Vladimir Putin ametetea uvamizi nchini Ukraine na kuikosoa jamii ya kimataifa kwa kuingilia mzozo...

Simulizi ya Gachagua alivyopoteza ndugu zake kupitia pombe

NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua Jumapili, Machi 17, 2024, alisimulia jinsi alivyopoteza ndugu zake kwa sababu ya...

Tutakusaidia kupata mke, Maribe amwambia Itumbi

ELIZABETH NGIGI na CHARLES WASONGA MWANAHABARI Jacque Maribe amevunja kimya chake kuhusu uvumi unaoenekezwa kuhusu uhusiano wake na...

Je, unajua maziwa ya ngamia ni kinga kwa magonjwa hatari?

NA WANDERI KAMAU KATIKA nyakati hizi ambapo watu wengi wamekuwa wakilalamikia ongezeko la magonjwa yasiyoeleweka, wataalamu wa afya...

Kukatizia mlevi pombe ghafla kunaweza sababisha kifo, Gachagua aambiwa 

NA MWANGI MUIRURI  BAADHI ya madaktari wameonya serikali dhidi ya kuachisha ghafla walevi pombe wakihoji kwamba huenda wengine wakaaga...

Joto kali Sudan Kusini lasukuma serikali kufunga shule

LABAAN SHABAAN na MASHIRIKA  SUDAN Kusini imefunga shule zote kuanzia Jumatatu, Machi 18, 2024 ili kulinda wanafunzi dhidi ya wimbi la...

Wa Muchomba aongoza kupinga ujenzi wa nyumba za bei nafuu eneo ‘takatifu’  

NA MWANGI MUIRURI BARAZA la Wazee wa Agikuyu pamoja na mbunge wa Githunguri, Bi Gathoni wa Muchomba wameungana kukataa Rais WilliamRuto...

Kidosho anayetamba kwa kuigiza kwa lugha ya mama

NA WANDERI KAMAU VIJANA wengi wachanga wamekuwa wakikwepa uzungumzaji na utumiaji wa lugha zao asilia. Kutokana na wimbi la usasa,...

Kang’ata aiga Gachagua akiahidi kutuza wakulima wa maembe na maziwa unga na mafuta ya kupikia

NA MWANGI MUIRURI  GAVANA wa Murang’a Irungu Kang’ata ameonekana kufuata nyayo za Naibu Rais, Rigathi Gachagua ambaye amekuwa akituza...

Mti wa kitamaduni ulioanguka unavyozua hofu  

NA OSCAR KAKAI KWA  karne nyingi, mti  mtakatifu  wa kiasili wa jamii ya Pokot kwa jina Mnagei ama Simotwo(Fig Tree) uliheshimika na...

MAKALA MAALUM – Prof Oniang’o: Wanaume Gen Z wawache uzembe

NA SAMMY WAWERU AKITAMBULIKA kwa uweledi wake katika masuala ya lishe, mifumo ya chakula na kilimo, Prof Ruth Oniang'o hana hofu...