• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 3:46 PM

Ufanisi dhidi ya pombe haramu Mlima Kenya ilikuwa hekaya tu?

NA MWANGI MUIRURI HUKU Naibu wa Rais Rigathi Gachagua akipigia upatu vita dhidi ya ulevi kiholela na mihadarati Mlima Kenya...

Polisi wahusishwa katika kupotea kwa Esther Ruguru Julai 1, 2023

NA MWANGI MUIRURI JULAI 1, 2023 Bi Esther Ruguru, mama mwenye umri wa miaka 43 alifunga hoteli yake ndogo katika mji wa Kiria-ini mwendo...

Mukombero kutumika kama kiungio cha uji  

NA FRIDAH OKACHI MIZIZI maarufu kama Mukombero kwa lugha asili ya Kiluhya inafahamika kama kichocheo cha nguvu za kiume, na ambayo...

Washukiwa wa mauaji ya Sniper kuanza kukamatwa, Kindiki aahidi

NA MWANGI MUIRURI WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki sasa ametangaza kwamba mwanablogu Daniel Muthiani kutoka Meru aliuawa na...

Pepo wa mauti alivyotembelea Murang’a  2023

NA MWANGI MUIRURI HUKU taifa na ulimwengu ukiuaga mwaka wa 2023, Kaunti ya Murang’a imeonekana kutembelewa na pepo mbaya ambaye chini...

Ndindi Nyoro: Wakosoaji wa Ruto wamefanyia Kenya nini?

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kiharu, Ndindi Nyoro ameendeleza mashambulizi yake kwa wakosoaji wa Rais William Ruto akiwataka waainishe...

Ambia Samidoh akujengee boma lako, Karen Nyamu aambiwa

NA FRIDAH OKACHI WATOAJI maoni na wajuaji mtandaoni sasa wanamtaka Seneta Maalum Karen Nyamu amuombe mwanamuziki Samuel Muchoki almaarufu...

Wito serikali, mashirika yamnyanyue mwanahabari Kimani Mbugua

NA WANDERI KAMAU MNAMO Oktoba 2023, mamia ya Wakenya waliungana pamoja kumsaidia mwanahabari Kimani Mbugua, baada ya kukumbwa na msururu...

Wakulima kutozwa ushuru wawasilishapo mazao kwa vyama vya ushirika

NA CHARLES WASONGA WAKULIMA na wafugaji sasa ndio tabaka la Wakenya ambao wataathiriwa na mzigo mzito wa kutozwa ushuru baada ya...

Maskwota 3,500 hatarini kuanza mwaka mpya bila makazi

NA LUCY MKANYIKA ZAIDI ya maskwota 3,500 katika kijiji cha Msambweni, Voi, Kaunti ya Taita Taveta wanakabiliwa na hatari ya kufurushwa...

Mke adaiwa kumuua mumewe kwa farakano la kidosho

NA MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Murang'a wanamzuilia mwanamke mmoja anayedaiwa alimdunga kisu na kumuua mumewe katika...

Maskwota wataka mahakama ibatilishe kutimuliwa kwao

NA RICHARD MUNGUTI MASKWOTA wapatao 10,000 wamewasilisha upya kesi katika Mahakama ya Upeo wakiomba ibatilishe uamuzi kwamba wafukuzwe...