• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Jinsi mikakati ya serikali kuhusu ushuru inavyokunywa maji Wakenya wakitafuta mbinu za ‘kuishi’

NA WANDERI KAMAU MIPANGO mikubwa iliyotangazwa na serikali ya Kenya Kwanza kuistawisha nchi kiuchumi imeanza kuporomoka, wadadisi wa...

Babu Owino asema hajutii kuvuta bangi, kutumia mihadarati awali

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Embakasi Mashariki Paul Ongili maarufu Babu Owino, hanywi tena pombe wala kutumia dawa za kulevya baada...

Davis Chirchir: Huenda lita moja ya petroli ikagonga Sh300

NA SAMMY WAWERU Huku wananchi wa Tanzania wakipumua baada ya serikali kupunguza bei ya mafuta, nchini Kenya Waziri wa Kawi, Davis...

Makanisa 20 yaandaa maombi ‘kutakasa’ eneo la Turkwel linaloshuhudia mauaji kila mara

NA OSCAR KAKAI ZAIDI ya makanisa 20 katika mpaka wa Pokot Magharibi na Turkana yameanzisha mchakato wa maombi maalum kutakasa eneo la...

Ole wako wewe mwenye kutumia simu msalani!

NA WANGU KANURI WATAALAMU wa afya wameonya dhidi ya matumizi ya simu mtu aendapo msalani. Kuketi msalani kwa muda mrefu pamoja na kukaza...

Wanaume hawawezi kustahimili habari mbaya kama wanawake – Utafiti

NA CECIL ODONGO Wanaume hubana habari mbaya zinazowahusu na za watu wengine, watafiti wamebaini. Utafiti huo ulioendeshwa na Wanasayansi...

Penzi la mauti: Mume katili alivyoangamiza mke kwa kumdunga kisu mara kadhaa   

NA SAMMY WAWERU KATIKA chumba kidogo cha kukodisha cha Christine Auma Odhiambo kilichoko mtaa wa Baba Dogo, Ruaraka, Nairobi tunaipata...

Wanawake wanavyotumia ujuzi wa GYM kutwanga wanaume vichwa ngumu  

NA RICHARD MAOSI. BAADHI ya wanawake kutoka mitaa ya Kayole, Huruma na Imara Daima Kaunti ya Nairobi wamemulikwa kwa kutumia ujuzi...

Tiktoker Nyako kwa mara ya kwanza azungumzia giza lililogubika familia yao

NA FRIDAH OKACHI 'TIKTOKER' Roseline Ngolo almaarufu Nyako Pilot, amezungumzia jinsi alivyowapoteza wazazi wake na dada wawili kutokana...

AstraZeneca yaifaa KNH kwa mashine ya kisasa ya tiba ya kansa ya tezi dume

NA PAULINE ONGAJI KAMPUNI ya kimataifa ya kutengeza dawa ya AstraZeneca, mnamo Alhamisi ilitoa msaada wa mashine ya kutumia teknolojia ya...

Sauti Sol kupiga densi ya mwisho leo na kuachana rasmi

HILARY KIMUYU na FRIDAH OKACHI  “Tumefanya mazoezi kwa ajili ya onyesho la mwisho la ‘Densi ya mwisho’ ya miaka 17,” alisema...

Ziara ya Mfalme: Ruto na Rigathi lawamani kwa kunyamazia mahangaiko ya Mau Mau

NA WANDERI KAMAU HATUA ya Mfalme Charles III wa Uingereza kukosa kuzungumzia malipo kwa Wakenya kutokana na mateso yaliyowakumba...