• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Katuni, Oktoba 4, 2023

[gallery ids="134000"]

Haiti: Kenya ikae chonjo isiingie mtego wa Amerika

NA CHARLES WASONGA KENYA inafaa kuwa mwangalifu zaidi inapojiandaa kutuma jumla ya maafisa 1,000 wa polisi kuwa sehemu wa vikosi vya...

TAHARIRI: Mwaka mmoja wa pata potea: Rais aanze kibarua sasa

NA MHARIRI LEO, Serikali ya Kenya Kwanza inapoadhimisha mwaka mmoja tangu iingie mamlakani, pana haja ya maafisa mbalimbali katika...

CHARLES WASONGA: Wengi kutoka familia maskini watakosa ufadhili wa masomo

NA CHARLES WASONGA SASA imebainika kuwa huenda wanafunzi wengi kutoka familia maskini walioitiwa fursa za kujiunga na vyuo vikuu vya...

TAHARIRI: Serikali, Azimio wajue hatima ya nchi ni kwao

NA MHARIRI MATUMAINI yote ya Wakenya yatakuwa kwa kamati zinazoiwakilisha mirengo ya Kenya Kwanza na Azimio la Umoja kwenye Mazungumzo...

CHARLES WASONGA: Matamshi ya Ruto, Raila yasivuruge mazungumzo

NA CHARLES WASONGA NI unafiki mkubwa kwa Rais William Ruto na kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kukutana Mombasa na kukubaliana kuhusu...

WANTO WARUI: Haifai kuweka shule za chekechea pamoja na zile za msingi  

NA WANTO WARUI Kamati iliyoteuliwa na Rais William Ruto kuchunguza na kutoa mapendekezo yake kwa serikali hatimaye ilikamilisha kazi...

CHARLES WASONGA: Mpishi wa Shule ya Mukumu hakustahili kupigwa kalamu

NA CHARLES WASONGA NAPONGEZA tume ya kupokea malalamishi kutoka kwa umma, almaarufu, Ombudsman, kwa kumtetea mpishi wa Shule ya Upili ya...

CECIL ODONGO: Kwa kiongozi dikteta, mwisho wa ubaya ni aibu

NA CECIL ODONGO KUNA msemo kuwa anayetawala kwa mkono wa chuma naye hukumbana na kifo cha kikatili. Msemo huu unatumiwa hasa...

JURGEN NAMBEKA: Wakuu Mombasa watafute jibu kwa wanaozurura barabarani

NA JURGEN NAMBEKA KILA unapotembea katika mitaa ya jiji la Mombasa, utakutana na watu kadhaa, wanaojisakia tonge kwa kuombaomba. Mara...

Sasa yametosha!

NA MHARIRI MANENO yao pekee yanaweza kuamua iwapo Kenya itafuata mwelekeo wa mataifa mengine yaliyosambaratika au itarejea katika...

CHARLES WASONGA: Vikwazo viondolewe kabla ya vitambulisho vipya kutolewa

NA CHARLES WASONGA MPANGO wa serikali wa kuanzisha vitambulisho vya kitaifa vya kidijitali kufikia mwishoni mwa mwaka huu ni mzuri ila...