• Nairobi
  • Last Updated December 6th, 2023 9:00 PM

TAHARIRI: Wahalifu wote wa mauaji ya Shakahola wafichuliwe bila kusazwa

NA MHARIRI MNAMO Jumanne, Mhubiri Paul Mackenzie alifikishwa kwenye mahakama ya Malindi na kusomewa mashtaka upya kabla ya kurejeshwa...

CHARLES WASONGA: Serikali ifanikishe azma ya afya kwa wote ili raia wanufaike kimaendeleo

NA CHARLES WASONGA MNAMO Septemba 2020, mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa (UN) yalipitisha muafaka kuhusu Mpango wa Afya kwa Wote...

TAHARIRI: Uchunguzi wa Shakahola usivurugwe kivyovyote

NA MHARIRI UCHUNGUZI kuhusu vifo vya watu zaidi ya 100 katika kijiji cha Shakahola, Kaunti ya Kilifi, umeingia katika awamu muhimu ya...

DOUGLAS MUTUA: Suluhu ya kudumu Sudan itatoka Afrika si kwingine

NA DOUGLAS MUTUA HIVI Mwafrika atawahi kufahamu kwamba yeye mwenyewe ndiye aliye na suluhu za masaibu yanayomsibu, au ataendelea kununua...

TAHARIRI: Nguzo kuu ya dini ni utu bali si maisha ya baada ya kifo

NA MHARIRI KWA sasa Kenya inaendelea kushtushwa na matukio ya vifo yanayoripotiwa katika dhehebu la Good News International, kijijini...

CHARLES WASONGA: Serikali, maafisa wa polisi wasivuruge maandamano yajayo ya Azimio

NA CHARLES WASONGA SERIKALI isiingilie maandamano ambayo yameitishwa na muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya kuanzia Mei 02,...

CECIL ODONGO: Ruto aondoe Keynan kamati ya mazungumzo na upinzani

NA CECIL ODONGO RAIS William Ruto anafaa kuondoa jina la mbunge wa Eldas, Bw Adan Keynan, katika kamati ya mazungumzo baina ya upinzani...

WANTO WARUI: Waziri wa Elimu aweke mikakati kabambe kulinda hadhi ya mitihani ya kitaifa

NA WANTO WARUI MALALAMISHI mengi yameibuka kuhusu matokeo ya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) wa mwaka 2022, kwamba hayakuwa...

CHARLES WASONGA: Murkomen afuatilie jitihada za kudhibiti ajali humu nchini

NA CHARLES WASONGA MIKAKATI iliyotangazwa wiki hii na serikali kwa lengo la kuzuia ajali za barabarani haitazaa matunda ikiwa utepetevu...

TAHARIRI: Mafunzo hatari ya kiroho ni tishio kwa jamii, usalama

NA MHARIRI KUGUNDULIWA na kufukuliwa kwa makaburi ya halaiki ya watu wanaoshukiwa kuwa wafuasi wa mhubiri Paul Makenzie huko kaunti ya...

TAHARIRI: Naam, sheria kandamizi ya HELB yafaa irekebishwe

NA MHARIRI NI habari njema kuwa, kwa mara nyingine, mswada wa kufanyia marekebisho Sheria ya Halmashauri ya Mikopo ya Elimu ya Juu...

WANDERI KAMAU: Mzozo wa Urusi-Ukraine unatishia uthabiti duniani

NA WANDERI KAMAU DUNIA nzima inapoendelea kufuatilia kwa karibu mzozo kati ya Ukraine na Urusi, kile kinachoendelea kuibuka ni kuwa,...