• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 11:05 AM

CHARLES WASONGA: Serikali, maafisa wa polisi wasivuruge maandamano yajayo ya Azimio

NA CHARLES WASONGA SERIKALI isiingilie maandamano ambayo yameitishwa na muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya kuanzia Mei 02,...

CECIL ODONGO: Ruto aondoe Keynan kamati ya mazungumzo na upinzani

NA CECIL ODONGO RAIS William Ruto anafaa kuondoa jina la mbunge wa Eldas, Bw Adan Keynan, katika kamati ya mazungumzo baina ya upinzani...

WANTO WARUI: Waziri wa Elimu aweke mikakati kabambe kulinda hadhi ya mitihani ya kitaifa

NA WANTO WARUI MALALAMISHI mengi yameibuka kuhusu matokeo ya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) wa mwaka 2022, kwamba hayakuwa...

CHARLES WASONGA: Murkomen afuatilie jitihada za kudhibiti ajali humu nchini

NA CHARLES WASONGA MIKAKATI iliyotangazwa wiki hii na serikali kwa lengo la kuzuia ajali za barabarani haitazaa matunda ikiwa utepetevu...

TAHARIRI: Mafunzo hatari ya kiroho ni tishio kwa jamii, usalama

NA MHARIRI KUGUNDULIWA na kufukuliwa kwa makaburi ya halaiki ya watu wanaoshukiwa kuwa wafuasi wa mhubiri Paul Makenzie huko kaunti ya...

TAHARIRI: Naam, sheria kandamizi ya HELB yafaa irekebishwe

NA MHARIRI NI habari njema kuwa, kwa mara nyingine, mswada wa kufanyia marekebisho Sheria ya Halmashauri ya Mikopo ya Elimu ya Juu...

WANDERI KAMAU: Mzozo wa Urusi-Ukraine unatishia uthabiti duniani

NA WANDERI KAMAU DUNIA nzima inapoendelea kufuatilia kwa karibu mzozo kati ya Ukraine na Urusi, kile kinachoendelea kuibuka ni kuwa,...

TAHARIRI: Ni makosa kwa IG Koome kujibizana na wanasiasa

NA MHARIRI HATUA ya Inspekta Jenerali wa polisi Japhet Koome kujibizana na viongozi wa Azimio haifai. Kikosi cha polisi...

WANDERI KAMAU: Hatua zichukuliwe kuwaokoa Wakenya wanaotesekea nchi za Uarabuni

NA WANDERI KAMAU SIMULIZI za Wakenya wanaokumbana na mateso katika nchi za Arabuni ni za kuatua moyo. Binafsi, nimechoshwa na...

DOUGLAS MUTUA: Wakenya waliofungwa jela Uganda hawafai kuokolewa

NA DOUGLAS MUTUA UGANDA inastahili pongezi kwa kutuonyesha jinsi ya kukabiliana na wahalifu waitwao wezi wa mifugo; imewafunga Wakenya...

TAHARIRI: FKF iingilie mzozo kati ya makocha Aussems, Matano

NA MHARIRI MAKOCHA nchini wanastahili kuheshimiana na kuwa kielelezo bora kwa wachezaji wao na wale ambao wangependa kujihusisha na...

JURGEN NAMBEKA: Heko Mwadime kutimua wafisadi ila uozo unatisha

NA JURGEN NAMBEKA GAVANA wa Kaunti ya Taita Taveta Bw Andrew Mwadime wiki iliyopita aliwatimua afisini maafisa wanne kwa madai ya...