• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 6:55 AM

TAHARIRI: Vizingiti vya mazungumzo viondolewe

NA MHARIRI HATIMAYE kuna matumaini ya utulivu nchini baada ya pande mbili pinzani za kisiasa kuonyesha dalili za kupatana. Jana...

WANDERI KAMAU: Tamaa ya mwanadamu ni chanzo cha uharibifu wa mazingira

NA WANDERI KAMAU DUNIA inakumbwa na mustakabali finyu sana kuhusu hali yake kimazingira. Mabadiliko ya ghafla ya hali ya hewa ambayo...

DOUGLAS MUTUA: Ruto na Raila watafute suluhisho kama Ethiopia

NA DOUGLAS MUTUA WAGOMBANAO ndio wapatanao, wahenga walinena. Hata wanasiasa wa Kenya hawataishi kukabana koo milele. Kauli hiyo ya...

KINYUA KING’ORI: Maridhiano baina ya Rais Ruto na Raila yatafaa pakubwa uchumi wa taifa

NA KINYUA KING'ORI HATUA ya Rais William Ruto kukubali baadhi ya hoja zilizochochea maandamano ya muungano wa upinzani Azimio, ni nzuri....

TAHARIRI: Pendekezo la Askofu Oginde lipewe uzito

NA MHARIRI KAMATI ya Bunge inayohusika na masuala ya Haki na Katiba (JLAC) hatimaye imempiga msasa Askofu Dkt David Oginde. Askofu...

JURGEN NAMBEKA: Mafuriko ya Mwatate ishara hatujapangia hali za dharura

NA JURGEN NAMBEKA TAARIFA za hivi punde za watu kadha kupoteza maisha pamoja na mali ya mamilioni kuharibiwa na mafuriko katika Kaunti ya...

CECIL ODONGO: Raila hana lake kwenye vikao vya maridhiano na Rais Ruto

NA CECIL ODONGO KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga anapasa kukoma kuwachezea shere wafuasi wake kila mara kwa kuchukua mkondo wa...

TAHARIRI: Hujuma hii kwa ugatuzi hakika haifai

NA MHARIRI INASIKITISHA kuwa tangu Desemba 2022, serikali ya Kenya Kwanza haijatuma mgao wa kaunti kwa magatuzi hayo. Hali hiyo...

TAHARIRI: Mazungumzo yaweke maslahi ya raia mbele

NA MHARIRI HATUA ya Rais William Ruto na kinara wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga, kulegeza misimamo yao ilikuja...

TAHARIRI: Serikali ‘isinyonge’ wanahabari

NA MHARIRI HATUA ya vigogo serikalini kuelekezea ghadhabu zao wanahabari na vyombo vya habari katika juhudi za kuzima maandamano...

TAHARIRI: Ni fedheha wanasiasa kufadhili wahuni

NA MHARIRI TUKIO la mnamo Jumatatu ambapo wahuni, walioonekana kufadhiliwa na mahasimu wa kisiasa wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na...

TAHARIRI: Wanasiasa wasichochee umma dhidi ya wanahabari

NA MHARIRI VITA dhidi ya uhuru wa vyombo vya habari Kenya sasa vinaonekana kuanza kuchukua mkondo hatari zaidi. Tangu serikali ya Kenya...