• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:50 AM

Jinsi Arsenal waliitoa Liverpool pumzi

NA MASHIRIKA ARSENAL walidhihirisha kuwa wangali na fursa na uwezo wa kutawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu baada...

Arsenal Vs Liverpool: The Reds wana majeraha tele, nao ‘ndovu’ wakijaribu kurudi juu ya mti

UPDATE 21:30: Arsenal yashinda 3-1 ugani Emirates  NA LABAAN SHABAAN KAMBI za klabu za Uingereza, Arsenal na Liverpool, zimezagaa...

Junior Starlets yavuna, DRC ikijiondoa mashindanoni

NA TOTO AREGE TIMU ya taifa ya wasichana wasiozidi umri wa miaka 17 almaarufu Junior Starlets, imefuzu raundi ya tatu ya michuano ya...

DR Congo wapiga Guinea kuendelea kucheza ‘Lingala’ katika Afcon

NA MASHIRIKA 'CHUI' wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walituma onyo kali kwa timu zilizosalia kwenye fainali za Kombe la Afrika...

Nigeria pazuri kuzoa taji la nne la Afcon baada ya kudengua Angola katika robo-fainali

Na MASHIRIKA WAFALME mara tatu wa Kombe la Afrika (Afcon), Nigeria, ndio walikuwa wa kwanza kufuzu kwa nusu-fainali baada ya kupepeta...

Mechi isiyotabirika ‘Sauzi’ na Cape Verde zikikabana koo robo fainali Afcon

JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA AFRIKA Kusini inapewa nafasi kubwa ya kushinda Cape Verde Jumamosi usiku na kufuzu kwa nusu-fainali ya...

Mkongwe Emilio Nsue aongoza ufungaji mabao robo fainali Afcon ikianza Ijumaa

JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA DIMBA la Afcon linaingia hatua ya robo-fainali Ijumaa na Jumamosi huku vita vya kuwania Kiatu cha Dhahabu...

Afcon: Morocco wafungishwa virago na Afrika Kusini

Na MASHIRIKA ABIDJAN, COTE D'IVOIRE MASHABIKI wa soka waliendelea kushuhudia matokeo ya kustaajabisha baada ya Morocco kubanduliwa na...

Hatimaye ndovu Cote d’Ivoire wapanda mtini

NA MASHIRIKA WENYEJI, Cote d’Ivoire wamefuzu kwa robo-fainali ya Kombe la Taifa Bingwa Afrika (Afcon 2023) baada ya kubandua mabingwa...

Junior Starlets wajifua kwa mechi dhidi ya DRC

Na TOTO AREGE TIMU ya Kenya ya Wasichana chini ya umri wa miaka 17 almaarufu Junior Starlets, inaendelea kujifua kwa maandalizi ya mechi...

Dereva Jim Heather-Hayes atawazwa mwanamichezo bora mbio za magari baada ya kufariki  

NA GEOFFREY ANENE MWENDAZAKE Jim Heather-Hayes ametawazwa mwanamichezo bora wa mwaka 2023 wa Shirikisho la Mbio za Magari nchini Kenya...

Kenya yang’aa Marrakech Marathon Kitwara akivuna Sh1.6 milioni

NA GEOFFREY ANENE MKENYA Sammy Kitwara ameibuka mfalme wa Marrakech Marathon na kujizolea Sh1.6 milioni kwenye mbio hizo zilizovutia...