GLASGOW, Scotland Kocha Gareth Southgate wa timu ya Uingereza amemtetea mlinzi Harry Maguire dhidi ya mashabiki waliomfokea vikali baada...
Na CECIL ODONGO Mashabiki wa soka nchini jana waliondoka uwanjani Kasarani kwa ghadhabu na aibu baada ya timu ya taifa Harambee Stars...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Daniel Simiu ameingia katika kinyang’anyiro cha Vedanta Delhi Half Marathon nchini India ambapo kuna tuzo ya...
NA GEOFFREY ANENE KOCHA Kevin ‘Bling’ Wambua amejumuisha wachezaji sita wapya katika kikosi cha mwisho cha Kenya Shujaa...
NA TOTO AREGE MSHAMBULIZI matata wa Harambee Starlets Violet Nanjala anatarajiwa kuingia kambini Ijumaa wiki hii, kwa maandalizi ya...
Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika na Jumuiya ya Madola mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala ameibuka mfalme wa Boris Hanzekovic Memorial...
Na GEOFFREY ANENE NONDESCRIPTS, Kenya Harlequin, Nakuru, Strathmore Leos, Kabras Sugar, Mwamba, KCB na Menengai Oilers mnamo Jumamosi...
NA TOTO AREGE TIMU ya soka ya wanawake ya Fountain Gates Princess ya Tanzania, imemsajili mshambulizi wa Harambee Starlets Topister Situma...
NA GEOFFREY ANENE MTANGAZAJI wa zamani wa Shirika la Habari la Nation (NMG), Sean Cardovillis ameaga dunia. Mwanahabari huyo mtajika wa...
NA GEOFFREY ANENE CHIPUKIZI Aldrine Kibet sasa analenga juu zaidi baada ya kupata motisha ya kuibuka Mwanamichezo Bora wa Agosti katika...
NA TOTO AREGE KOCHA mpya wa timu ya taifa ya Harambee Starlets, Beldine Odemba mnamo Jumanne ametaja kikosi cha wachezaji 30 kwa...
NA MWANGI MUIRURI WAZIRI Msaidizi (CAS) mteule wa Idara ya Usalama, Millicent Omanga anaomboleza kichapo ambacho Manchester United...