Na GEOFFREY ANENE CHAMA cha Uogeleaji cha kaunti ya Kiambu (KCAA) kimepata motisha ya Sh55,000 kabla ya mashindano baina ya kaunti...
NA CHRIS ADUNGO KIPUSA Suzy Cortez ambaye ni shabiki sugu wa nyota Lionel Messi, amejipagazwa jina jipya la utani baada ya kufanyia mwili...
NA GEOFFREY ANENE WAKENYA Edwin Kiprop Kiptoo na Caroline Jepchirchir wako katika orodha ya watimkaji wanaopigiwa upatu kutawala mbio za...
NA TOTO AREGE TIMU ya Kenya ya wanawake ya soka ya Rising Starlets, itakabiliana na wenyeji Indomitable Lionesses ya Cameroon katika mechi...
Na AYUMBA AYODI MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia mbio za kilomita 42 ya wanaume, Kelvin Kiptum atajaribu kukamilisha umbali huo chini ya...
NA TOTO AREGE TIMU ya taifa ya soka ya Kenya ya wanawake wasiozidi umri wa miaka 20, Rising Starlets, inaingia siku ya sita sasa kambini,...
LONDON, Uingereza Baada ya kusuasua kwa muda mrefu, hatimaye klabu ya Chelsea imerejea kwa makali ya kutisha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza...
NA ABDULRAHMAN SHERIFF MASHABIKI wa soka wa Shabana FC waliweka rekodi mpya ya kuujaza uwanja wa Mbaraki Sports Club wakati wa mechi yao...
NA FRIDAH OKACHI MWANZILISHI wa Facebook mtandao wa kijamii ambao kwa sasa unafahamika Meta, Mark Zuckerberg alifanyiwa upasuaji wa goti...
Na MASHIRIKA NAHODHA Bruno Fernandes alipunguzia kocha Erik ten Hag presha ya kupigwa kalamu ugani Old Trafford kwa kuwafungia bao la...
Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Olimpiki, Peres Jepchirchir huenda akakosa duru ya mwisho ya Marathon Kuu Duniani (WMM) ya New York Marathon...
Na JOHN ASHIHUNDU KATIBU wa klabu ya Gor Mahia, Sam Ocholla, amejitosa uwanjani kuwania urais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF), huku...