• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Staa wa Brazil, Robinho atupwa jela miaka tisa kwa tamaa ya visketi

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO ALIYEKUWA fowadi wa Manchester City na timu ya taifa ya Brazil, Robson de Souza almaarufu Robinho, hatimaye...

Ufaransa, Ujerumani kutoana jasho kirafiki

NA MASHIRIKA LYON, Ufaransa MIAMBA Ufaransa na Ujerumani watafufua uhasama ugani Groupama kwenye mechi ya kupimana nguvu ambayo wenyeji...

Real Madrid yashtaki refarii kupuuza visa vya kiubaguzi dhidi yao

NA MASHIRIKA MADRID, Uingereza KLABU ya Real Madrid imewasilisha kesi dhidi ya refarii aliyechezesha mechi kati yao na Osasuna, ikidai...

Mashabiki wa Shabana FC wamlilia Mungu asaidie isishushwe ngazi

NA WYCLIFFE NYABERI MASHABIKI wa Shabana FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Soka Nchini (FKF-PL) sasa wamemgeukia Mungu kumwomba asaidie klabu...

Amina amdengua Apew mashindano ya Afrika

NA CHARLES ONGADI  MATUMAINI ya Kenya kushinda medali katika mchezo wa ndondi katika Mashindano ya Afrika yanayoendelea Accra nchini...

Kosgei, Cheruiyot wafukuzia Sh22m Lisbon Half Marathon

Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa zamani wa rekodi ya dunia mbio za kilomita 42, Brigid Kosgei anapigiwa upatu kuibuka bingwa wa mbio za...

Kipa Courtois aendelea kufunga mabao akitarajiwa kuitwa baba mara ya tatu

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO KIPA mzoefu wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ubelgiji, Thibaut Courtois, yuko pua na mdomo kuwa baba mzazi...

Manchester City wapewa Real Madrid katika robo-fainali Uefa

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA watetezi Manchester City watakutana na washikilizi wa rekodi ya mataji mengi (14) Real Madrid baada ya droo ya...

Arsenal yapewa Bayern Munich hatua ya robo-fainali Uefa

NA REUTERS KLABU ya Arsenal imekutanishwa na miamba Bayern Munich katika droo ya mechi za hatua ya robo-fainali ya Klabu Bingwa Ulaya...

Ruto aibia AFC Leopards ujanja wa kujizolea mkwanja

NA JOHN ASHIHUNDU RAIS William Ruto ameshauri wanachama wa AFC Leopards wabadilishe klabu hiyo ili iwe shirika lenye faida badala ya...

Arsenal yaendeleza maangamizi ikipanda viwango vya juu

Na MWANGI MUIRURI KLABU ya Arsenal iliponyoka aibu ya kutimuliwa kutoka dimba la Klabu Bingwa Ulaya (Uefa) na timu ya FC Porto baada ya...

Sherehe za Ingwe@60 zaanza kwa mbwembwe na madoido

Na JOHN ASHIHUNDU SHANGWE, nderemo na vigelegele vilihanikiza mitaa mbalimbali ya Nairobi wakati mashabiki wa soka walijitokeza kuanza...