• Nairobi
  • Last Updated September 26th, 2023 10:25 PM

Tuwei achaguliwa naibu rais wa Shirikisho la Riadha Duniani

Na GEOFFREY ANENE RAIS wa Shirikisho la Riadha Kenya (AK) Jackson Tuwei amechaguliwa kuwa mmoja wa manaibu rais wanne wa Shirikisho la...

Vihiga Queens watinga nusu fainali Dimba la CECAFA

NA TOTO AREGE BAO la mshambulizi Bertha Omitta kunako dakika ya 36 wakicheza dhidi ya AS Kigali ya Rwanda, lilitosha kuwapa Vihiga...

Neymar alitaka kasri la vyumba 25 kabla ya kuhamia klabu ya Saudia

NA MASHIRIKA NEYMAR alitaka kasri la vyumba 25, bwawa la kuogelea na chumba cha kujituliza kwa mvuke maalum, wafanyakazi na wanane wa...

Kenya Shujaa yaanza maandalizi ya kushiriki Kombe la Afrika

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Raga Kenya (KRU) limetaja kikosi cha Kenya Shujaa chenye wachezaji 36 kuanza maandalizi ya Kombe la...

Uingereza watinga fainali ya Kombe la Dunia baada ya kudengua wenyeji Australia

Na MASHIRIKA VIPUSA wa Uingereza walitinga fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza baada ya kukomoa wenyeji Australia 3-1 jijini...

Omanyala tayari kutetemesha Budapest baada ya mazoezi Miramas

GEOFFREY ANENE na AYUMBA AYODI MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala ametangaza yuko tayari kwa Riadha za...

Uhispania kusubiri mshindi wa mechi kati ya Uingereza na Australia

Na MASHIRIKA VIPUSA wa Uhispania walitinga fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza katika historia baada ya kupokeza Uswidi kichapo...

Kuwasili kwa Moises Caicedo kwawasisimua mashabiki wa Chelsea

Na MASHIRIKA CHELSEA hatimaye walifaulu kumsajili kiungo mzoefu wa Brighton, Moises Caicedo, kwa Sh18.2 bilioni japo ada hiyo inatarajiwa...

Jeraha la paja kumweka De Bruyne mkekani kwa miezi minne

Na MASHIRIKA KIUNGO matata raia wa Ubelgiji, Kevin de Bruyne, huenda akasalia mkekani kwa kipindi cha miezi minne ijayo huku waajiri wake...

Tanzia: Olesia wa Kenya Lionesses aaga dunia

Na GEOFFREY ANENE WAPENZI wa raga wanaomboleza kifo cha mchezaji wa timu ya taifa ya raga ya wanawake ya Kenya Lionesses, Bernadette...

Mashabiki: Tuko na wewe Mandonga hata ikiwa watakuangamiza

NA MWANGI MUIRURI HUKU mwanabondia Karim Mandonga maarufu kama mtukazi, wa Tanzania akitarajiwa kupigana Zanzibar mnamo Agosti 27, 2023,...

PSG wajinasia huduma za Ousmane Dembele kutoka Barcelona

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) wamemsajili fowadi matata wa Ufaransa, Ousmane Dembele, kwa Sh7.8 bilioni kutoka...