• Nairobi
  • Last Updated May 29th, 2023 9:37 PM

Azimio wasukuma serikali ukutani

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, jana Jumapili alitoa masharti mapya kwa Rais William Ruto na utawala wa...

Haji mjumbe aliyepatanisha Raila na Ruto

NA MOSES NYAMORI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji ametajwa kama mmoja wa wajumbe wa Rais William Ruto kwa kambi ya...

Maandamano yaendelee sambamba na mazungumzo – Raila

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga, ametangaza kuwa muungano wa upinzani utarudia maandamano ya kila...

‘Plan B’ ya Raila

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga, anaonekana kusuka mikakati chini ya maji kurejea...

Gachagua apinga handisheki akisaka ubabe Mlima Kenya

MWANGI MUIRURI Na GEORGE MUNENE NAIBU wa Rais Bw Rigathi Gachagua amezidisha kampeni zake za kusaka ubabe wa kisiasa katika eneo la...

Janjajanja za Gachagua kuzima handisheki

WANDERI KAMAU Na JUSTUS OCHIENG RAIS William Ruto leo Jumanne anatarajiwa kuongoza mkutano utakaoamua hatima ya mazungumzo baina ya...

Masharti mapya ya maridhiano yazuka

NA BENSON MATHEKA MAKATAA ya wiki moja ambayo kiongozi wa Azimio la Umoja Raila Odinga alimpa Rais William Ruto kufanikisha maridhiano,...

Makundi mbalimbali yataka Ruto, Raila waingie muafaka

NA JUSTUS OCHIENG RAIS William Ruto na kinara wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, wako kwenye shinikizo kubuni Serikali ya Umoja wa Kitaifa...

Handisheki yanukia, adokeza mwanauchumi David Ndii

NA CHARLES WASONGA MSHAURI wa Rais William Ruto kuhusu Masuala ya Kiuchumi, David Ndii, Jumamosi amefichua kuwa huenda serikali ikafanya...

Upungufu wa fedha waikumba Serikali

NA CHARLES WASONGA SASA ni bayana kwamba, hali si shwari na huenda serikali inakabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha. Kufikia jana...

Azimio yateua wakali meza ya majadiliano

CHARLES WASONGA Na ANTHONY KITIMO MUUNGANO wa Azimio umeteua kikosi cha wanasiasa wenye misimamo mikali kuiwakilisha kwenye meza ya...

Fungueni ‘server’ bila kuogopa – Madzayo

ALEX KALAMA Na STEVEN HEYWOOD KATIKA mahojiano na kituo cha redio cha Spice FM, Seneta wa Kilifi Stewart Madzayo ametoa madai yake...