Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Haniheshimu lakini naogopa kuachana naye

Na SHANGAZI November 28th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Vipi shangazi. Naogopa sana kuachana na mpenzi wangu hata kama haniheshimu. Je, hii ni kawaida?

Jibu: La! Heshima ikikosekana, mapenzi yanakuwa kama chai bila sukari, ina maana unainywa lakini haina utamu.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO