• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 1:15 PM
BBI: NCIC yataka nguvu za kuwashtaki na kuwaadhibu wachochezi

BBI: NCIC yataka nguvu za kuwashtaki na kuwaadhibu wachochezi

Na WANDERI KAMAU

TUME ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) inataka ipewe nguvu za kuwashtaki na kuwaadhibu watu wanaopatikana kuwachochea wananchi.

Inataka nguvu hizo kulingana na zile za EACC na DPP.

Hili ni kupitia mwenyekiti wake Samuel Kobia ambaye amesema hayo wakati akitoa mapendekezo yake kwa Jopo la Mpango wa Maridhiano (BBI).

You can share this post!

Dkt Silverstein asema Moi alipenda divai kutoka Israel

AKILIMALI: Mradi unaosaidia shule kukimu mahitaji msingi

adminleo