• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM
KIKOLEZO: Je, TPF lilikuwa shindano la mkosi?

KIKOLEZO: Je, TPF lilikuwa shindano la mkosi?

Na THOMAS MATIKO

JUMA lote hili imetrendi stori ya masaibu anayopitia staa wa zamani wa shindano la uimbaji la Tusker Project Fame lililokuwa maarufu sana zaidi ya miaka sita, saba iliyopita.

 

Esther Nabaasa. Picha/ Hisani

Ukweli mchungu ni kwamba TPF haikuchangia kuwatoa mastaa wa uimbaji kama ilivyodhamiriwa.

Ni wachache sana walioishia kutoboa kwenye muziki baada ya kushiriki TPF.

Wengi wa washiriki waliishia kuwa vichekesho na hata wengine walishasahaulika kabisa. Je, TPF lilikuwa shindano la mikosi?

Ruth Matete. Picha/ Hisani

You can share this post!

TAHARIRI: Tuepuke refarenda yenye ubishi

Jinsi ya kuandaa krimu ya siagi ya kupambia keki