• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:33 AM
M-Tiba ya Safaricom yatambuliwa ulimwenguni

M-Tiba ya Safaricom yatambuliwa ulimwenguni

Na BERNARDINE MUTANU

Huduma ya matibabu ya Safaricom, M-Tiba, imetambuliwa ulimwenguni kama teknolojia inayobadilisha maisha.

Huduma hiyo imeungana na huduma zingine zilizotambuliwa ulimwenguni kama vile Twitter, Spotif na Google, ambazo zimebadilisha maisha katika jamii.

Huduma hiyo inayotolewa kwa njia ya apu ilitambuliwa na World Economic Forum (WEF).

M-Akiba ni miongoni mwa kampuni tatu kutoka Barani Afrika ambazo zilitambuliwa mwaka huu.

Kampuni nyingine ya Kenya iliyotambuliwa ni BitPesa.

Mpango huo huwaruhusu watumiaji kulipia huduma za matibabu kwa M-Pesa.

You can share this post!

M-Akiba haijafikia malengo tuliyoweka – Rotich

IGAD yabuni sera kurahisishia wanachama wake biashara...

adminleo