Tag: ardhi
- by T L
- November 28th, 2021
Suala la ardhi latumiwa kama chombo kumega kura za Pwani
Na PHILIP MUYANGA Ni donda ndugu ambalo kila wakati wa siasa unapofika kama ilivyo sasa kinatoneshwa na wale wanaojitakia nyadhifya...
- by T L
- November 8th, 2021
Wamrai Rais asaidie kutatua mzozo wa ardhi waliyorithi
Na GEORGE MUNENE WAKAZI wa Mbeere Kusini katika Kaunti ya Embu, wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta, kusaidia kutatua mzozo wa muda mrefu...
- by T L
- October 27th, 2021
Kaunti yasaidia wakazi kukata rufaa ya ardhi
Na Maureen Ongala SERIKALI ya Kaunti ya Kilifi imeamua kutoa msaada wa kisheria kwa wakazi wa eneo la Kadzuhoni, Wadi ya Gongoni, katika...
Vyombo vya habari vishirikiane na NLC kuripoti visa vya unyakuzi wa ardhi
Na SAMMY WAWERU TUME ya Kitaifa ya Ardhi (NLC) imevihimiza vyombo vya habari kuisaidia katika uangaziaji wa masuala ya ardhi na mashamba...
Shughuli za ardhi kufanyika kidijitali
NA PSCU RAIS Uhuru Kenyatta jana alizindua mfumo wa dijitali wa kusimamia rekodi za ardhi zikiwemo hati miliki. Mfumo huo unaofahamika...
FAUSTINE NGILA: Tuwazime wafisadi iwapo tunataka teknolojia itufae
Na FAUSTINE NGILA Inashangaza kuwa licha ya Kenya kupiga hatua kubwa katika maendeleo ya kiteknolojia, karatasi bado zinatumika katika...
Mahangaiko tele familia zilizofurushwa katika ardhi zao zikiishi shuleni
Na George Munene MAMIA ya familia zilizofurushwa kutoka nyumba zao eneo la Makina, Kaunti ya Embu wiki jana, sasa zinaishi kwenye makao...
Shirika linavyohangaishwa na wanyakuzi wa ardhi
Na SAMMY WAWERU SHIRIKA la Mifugo Nchini (DVS) lilizinduliwa mwaka wa 1895 na serikali ya mkoloni. Uzinduzi wa taasisi hii ya kiserikali...
Kaunti yaanza kuwalipa fidia wakazi wa Buxton
Na SIAGO CECE SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imeanza kuwalipa pesa wakazi wa Buxton ili kuwasaidia kuhamia kwingineko baada ya nyumba zao...
Uhuru aamuru ardhi ya KDF irejeshewe jamii ya Samburu
Na GEOFFREY ONDIEKI RAIS Uhuru Kenyatta ameamuru kuhamishwa kwa kituo cha mafunzo ya Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) kutoka maeneo ya...
Wajomvu sasa wataka warudishiwe ardhi yao
Na WACHIRA MWANGI JAMII ya Wajomvu katika Kaunti ya Mombasa, inataka uchunguzi kuanzishwa kuhusu dhuluma za kijadi dhidi yao, ili...
NLC yataka maskwota wa tangu ukoloni sasa wapewe makao
Tom Matoke na Onyango K’Onyango TUME ya Kitaifa kuhusu Ardhi (NLC) imeiomba Wizara ya Ardhi kuwatafutia makao zaidi ya watu 500 ambao...