Tag: bajeti
KENYA IMESOTA!
LEONARD ONYANGO Na BENSON MATHEKA SERIKALI sasa inategemea mikopo kuendesha shughuli zake baada ya kuishiwa na fedha kabla ya kukamilika...
Spika ataka Yatani akamatwe kwa kukaidi seneti
Na IBRAHIM ORUKO SPIKA wa Seneti, Kenneth Lusaka sasa anataka Waziri wa Fedha Ukur Yatani akamatwe kwa kukaidi mialiko kadhaa ya kumtaka...
- by adminleo
- June 12th, 2020
Bajeti yanyonga wanyonge
Na CHARLES WASONGA BAADA ya virusi vya corona kuvuruga maisha ya mamilioni ya wanyonge nchini, Serikali imezima matumaini yao kupumua...
- by adminleo
- June 12th, 2020
Yatani akiri alikabiliwa na kibarua kigumu kusawazisha bajeti
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Fedha Ukur Yatani ameungama kuwa bajeti aliyowasilisha kwa Wakenya bungeni Alhamisi jioni ilitokana na...
- by adminleo
- June 11th, 2020
Machungu ambayo Wakenya watapitia kufadhili bajeti ya mwaka wa kifedha wa 2020/21
Na CHARLES WASONGA HUKU Wakenya wengi wakiendelea kukabiliwa na hali mgumu kwa kupoteza ajira kutokana na janga la Covid-19, huenda...
- by adminleo
- June 11th, 2020
Matarajio ya wafanyabiashara bajeti ikisomwa
Na SAMMY WAWERU USHURU wa bidhaa mbalimbali upunguzwe zaidi ili kuzipa biashara afueni wakati huu janga la Covid-19 linaendelea...
- by adminleo
- June 11th, 2020
BAJETI: Raila ala minofu Ruto akipiga miayo
Na PAUL WAFULA SERIKALI haijakoma kumkata miguu Naibu Rais William Ruto, wakati huu ikipunguza bajeti yake ya mwaka ujao wa kifedha kwa...
- by adminleo
- June 11th, 2020
WASONGA: Bajeti inayosomwa leo haijali athari za corona
Na CHARLES WASONGA BAJETI ya kitaifa inaposomwa leo bungeni kuna maswali mengi ibuka kuhusiana na viwango vya fedha zilizotengewa...
- by adminleo
- May 16th, 2020
Agnes Odhiambo ateuliwa mkuu wa NTSA
Na CHARLES WASONGA WIKI hii wabunge wanawake walilalama kwamba jinsia hiyo inadhulumiwa baada ya Seneta wa Nakuru Susan Kihika...
- by adminleo
- April 2nd, 2020
CORONA: Bunge kufanya kikao maalum kupitisha bajeti ya ziada
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa litafanya kikao maalum mnamo Jumatano wiki ijayo kupitisha mswada wa kufanikisha mpango wa serikali wa...
- by adminleo
- November 30th, 2019
Pengo katika ofisi ya msimamizi wa bajeti laathiri serikali za kaunti
Na CHARLES WASONGA SERIKALI za kaunti zimeshindwa kuwalipa wafanyakazi wao mishahara baada ya kukabiliwa na changamoto ya kuitisha pesa...
- by adminleo
- November 4th, 2019
TAHARIRI: Mizozo ya bajeti kauntini ikome
NA MHARIRI KUMEKUWA na matukio mengi ya mizozo kati ya madiwani na magavana kuhusu bajeti za serikali za kaunti mbalimbali. Katika...