Tag: GENGE
- by adminleo
- November 25th, 2019
Genge linavyohangaisha wanawake na wasichana
NA WAIKWA MAINA WAHALIFU sugu wenye silaha kali na hatari ambao wanalenga akina mama na wasichana wadogo, wamevamia kaunti ya Nyandarua,...
- by adminleo
- August 7th, 2019
Serikali ya kaunti yafuta bili za waliovamiwa na genge Mombasa
Na MISHI GONGO NAIBU Gavana wa Kaunti ya Mombasa Dkt William Kingi amesema serikali ya kaunti imefutilia mbali bili za hospitali za wote...
- by adminleo
- July 3rd, 2019
Genge la Gaza lavamia na kuhangaisha Tana River
Na STEPHEN ODUOR KWA mwezi mmoja sasa, kundi la watoto wa chini ya zaidi ya miaka 16 linaendelea kuhangaisha wakazi wa eneo la Madogo,...
- by adminleo
- June 6th, 2019
MURANG’A: Eneo ambako genge huitisha wenye magari Sh175,000 kuwaruhusu barabarani
Na MWANGI MUIRURI KWA miaka tisa sasa, wenyeji wa kaunti ndogo ya Kigumo katika kaunti ya Murang’a wameishi na ukweli kwamba genge...
- by adminleo
- May 3rd, 2019
Magenge hatari yalivyoteka nchi
Na LEONARD ONYANGO WAKENYA wengi wanaendelea kuishi roho mkononi huku magenge ya wahalifu yakizidi kongezeka na polisi kuonekana...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
Wachoshwa na genge la Sangwenya, wamtaka Matiang’i aliangamize
Na WANDISHI WETU VIONGOZI kutoka Kaunti ya Migori sasa wanamtaka waziri wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i kukabiliana na genge la...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
Pwani yaongoza kwa idadi ya magenge nchini
MOHAMED AHMED na LEONARD ONYANGO UKANDA wa Pwani unatambulika kuwa miongoni mwa maeneo yenye idadi kubwa ya magenge hatari. Kati ya...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
Mungiki, Usiku Sacco na Gaza wahangaisha wafanyabiashara
NICHOLAS KOMU na NDUNGU GACHANE VISA vya uvamizi unaotekelezwa na magenge ya wahalifu vinazidi kuongezeka katika eneo la Kati huku...
- by adminleo
- April 29th, 2019
Polisi wasaka genge hatari linalohusishwa na wanasiasa
Na ERIC MATARA MAAFISA wa usalama wameanzisha msako dhidi ya genge hatari la wahalifu ambalo limekuwa likihangaisha wakazi wa Nakuru,...
- by adminleo
- April 3rd, 2019
UHALIFU KISAUNI: Wanafunzi wa TUM wamlilia Mutyambai awaokoe
Na STEVE MOKAYA MTAA wa Kisauni, Mombasa huibua kumbukumbu za utovu wa usalama na uoga kila unapotajwa. Hili ni eneo ambalo limepata...
- by adminleo
- March 4th, 2018
Hofu magenge hatari ya vijana kufufuka eneo la Kisauni, Mombasa
Na MOHAMED AHMED MAGENGE ya kutisha ya vijana wadogo wanaotumia visu kuhangaisha wakazi yamerejea mjini Mombasa. Magenge hayo ya...