TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
Siasa Oburu sasa aonywa akome kutamani kiti cha Prof Kindiki Updated 53 mins ago
Habari Nyakango aonya serikali kuhusu kuwa kibaraka wa IMF Updated 2 hours ago
Siasa Mikono ya Uhuru, Ruto katika mzozo wa ODM Updated 3 hours ago
Siasa Je, Sifuna atanaswa na ndoana ya Muungano wa Upinzani? Updated 4 hours ago
Jamvi La Siasa

Magavana wasusia kamati ya Seneti wakitaja maseneta wanne ‘wakali wa hongo’

Michakato ya kutimua magavana, manaibu gavana yarahisishwa

MCHAKATO wa kuwaondoa afisini magavana na manaibu gavana sasa utarahishwa kufuatia kuzinduliwa kwa...

March 21st, 2025

Wazazi wataka Bunge liingilie zogo kuhusu ugavi wa basari kaunti

WAZAZI sasa wanataka Mabunge ya Kitaifa na Seneti, yaingilie kati na kusuluhisha utata unaotokana...

January 22nd, 2025

Sababu za magavana kutisha kusitisha shughuli za kaunti

MAGAVANA wamesema watasitisha shughuli za kaunti baada ya siku 30 iwapo mabunge yatakosa kuelewana...

November 19th, 2024

MAONI: Ufisadi unaoendelezwa na magavana katika kaunti unahujumu matunda ya ugatuzi

HUKU tukiendelea kulaumu hatua ya Serikali ya Kitaifa kwa kuchelewesha fedha kufikia Serikali za...

November 13th, 2024

Madiwani wapata uungwaji wa mswada wa kuwatengea pesa za maendeleo

MASENETA wanashinikiza mabunge ya kaunti yapatiwe uhuru wa kifedha, hatua inayolenga kuwapa...

November 5th, 2024

Lenku naye ajiunga na wanaomezea mate kiti cha Waiguru katika CoG

GAVANA wa Kajiado Bw Joseph Ole Lenku ametangaza azma yake ya kumrithi Gavana wa Kirinyaga Anne...

September 24th, 2024

Manaibu gavana walia majukumu yao kupewa wake wa magavana

NAIBU gavana alisimulia wabunge mateso wanayovumilia chini ya wakubwa wao kwa kukosa majukumu...

August 30th, 2024

Ujanja wa magavana wenye mikosi kuepuka kubanduliwa kama Mwangaza

KARIBU magavana 10 wamelazimika kutumia ujanja wa kisiasa kuponea masaibu sawa na yanayomkumba...

August 23rd, 2024

Msipotulipa deni la NHIF, itakuwa vigumu kutumia hospitali zetu mkianzisha SHIF – Magavana

MAGAVANA wanaitaka Wizara ya Afya kupatia kipaumbele malipo ya Sh8 bilioni ambazo Hazina ya Kitaifa...

August 7th, 2024

Magavana sita wasafiri ng’ambo ‘kutafuta pesa za maendeleo’

MAGAVANA sita wa Pwani wamesafiri Italia kusaka fedha za miradi ya maendeleo katika sekta ya Uchumi...

July 16th, 2024
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • Next →

Habari Za Sasa

Oburu sasa aonywa akome kutamani kiti cha Prof Kindiki

February 15th, 2026

Nyakango aonya serikali kuhusu kuwa kibaraka wa IMF

February 15th, 2026

Mikono ya Uhuru, Ruto katika mzozo wa ODM

February 15th, 2026

Je, Sifuna atanaswa na ndoana ya Muungano wa Upinzani?

February 15th, 2026

Matiang’i asema yeye ndiye dawa ya Ruto

February 15th, 2026

Godhana achukua uongozi wa Jumuiya ya Pwani

February 14th, 2026

KenyaBuzz

Send Help

Two colleagues become stranded on a deserted island, the...

BUY TICKET

Shelter

Mason lives in recluse at a remote setting by the sea. When...

BUY TICKET

Mercy

In the near future, a detective stands on trial accused of...

BUY TICKET

International Women's Day Gala Dinner

Join us for a day dedicated to empowerment, inspiration,...

BUY TICKET

Here We Go Again: Mama Mia 2 - The Musical

BUY TICKET

Love Misyini - Valentine's Outdoor Cinema & Candlelit Dinner

Experience the magic of Love Misyini, the flagship romantic...

BUY TICKET
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Sifuna atangaza mkutano mkubwa wa hadhara saa chache baada ya kutemwa na ODM

February 12th, 2026

Mahakama yazima ODM kumvua Sifuna wadhifa wake

February 12th, 2026

Faida za mashamba ya ‘ghorofa’ kwa kilimo cha mijini

February 11th, 2026

Usikose

Oburu sasa aonywa akome kutamani kiti cha Prof Kindiki

February 15th, 2026

Nyakango aonya serikali kuhusu kuwa kibaraka wa IMF

February 15th, 2026

Mikono ya Uhuru, Ruto katika mzozo wa ODM

February 15th, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.