Tag: mauaji
- by adminleo
- December 11th, 2019
Majambazi waliovaa buibui waua chifu, naibu wake
NA KALUME KAZUNGU TAHARUKI imetanda katika kijiji cha Mbwajumwali, Kaunti ya Lamu baada ya watu wasiojulikana kuwavamia na kuwaua chifu...
- by adminleo
- December 11th, 2019
Msichana amuua mwanamume aliyemtongoza
VITALIS KIMUTAI na DICKENS WASONGA MWANAFUNZI wa kike wa kidato cha pili alimuua mwanamume kwa kumdunga kisu baada ya mzozo kuzuka baina...
- by adminleo
- December 8th, 2019
Polisi miongoni mwa abiria 11 waliouawa na magaidi
Na BRUHAN MAKONG MAAFISA tisa wa polisi ni miongoni mwa watumishi 11 wa umma waliouawa kwenye shambulizi la kigaidi wakiwa katika basi...
- by adminleo
- December 1st, 2019
Rais ahukumiwa miaka 20 kwa mauaji ya wapinzani 15
NA AFP RAIS Desi Bouterse wa nchi ndogo ya Surinam, Amerika ya Kusini, amehukumiwa miaka 20 gerezani kwa tuhuma za kuagiza mauaji ya...
- by adminleo
- November 30th, 2019
Dada 2 wakiri kuua baba yao kuhusu pesa za mazishi
Na MWANDISHI WETU DADA wawili wa toka nitoke Ijumaa walikiri kwamba walimuua baba yao wakizozania pesa za mazishi ya ndugu yao. Hii...
- by adminleo
- November 4th, 2019
Mwanamume mwenye bashasha amuua mkewe
NA MERCY KOSKEY SIMANZI imekumba mtaa wa Free Area mjini Nakuru baada ya mwanamume mmoja kudaiwa kumnyonga mkewe hadi kufa hapo...
- by adminleo
- October 25th, 2019
Mshukiwa asimulia walivyomtoa Padri kafara
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA iliamuru Ijumaa kwamba wanaume wawili wanaoshukiwa kuhusika na mauaji ya kasisi wa Kanisa Katoliki Michael...
- by adminleo
- August 21st, 2019
Mtu mmoja auawa Nyeri kwenye mzozo wa ardhi
Na NICHOLAS KOMU @NiqKomu [email protected] MTU mmoja amefariki baada ya kuvyogwa kwa panga Jumatano asubuhi kwenye...
- by adminleo
- August 19th, 2019
Raha kijijini baada ya baba kumuua mwanawe!
NA SHABAN MAKOKHA JAPO kifo huandamana na machungu, wakazi wa kijiji cha Eshirembe, eneobunge la Butere, Kaunti ya Kakamega wameshangaza...
- by adminleo
- August 10th, 2019
Waandamanaji wapinga mauaji ya raia nchini DRC
Na AFP WAANDAMANAJI wapatao 5,000 waliziba barabara na kuteketeza magurudumu katika mji wa Beni mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Amerika si salama tena, ulimwengu waonywa
Na VALENTINE OBARA TAHADHARI ya usalama imetolewa kimataifa kwa watu wanaosafiri kwenda Amerika, kufuatia ongezeko la mashambulio ya...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Mwanamke alipiga hadi kuua bintiye wa miezi 7, korti yaambiwa
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMKE kutoka London, Uingereza yuko hatarini kutupwa jela, baada ya kumpiga bintiye wa miezi saba hadi...