• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 4:28 PM

CHOCHEO: Mume si suti, ni ujasiri!

NA BENSON MATHEKA Faiza alishangaza marafiki wake kwa kumuacha Ali na kumchumbia Abdul ingawa mwanamume huyo alikuwa akimpenda na...

Mkewe Cohen ataka aachwe huru amzike mume

Na RICHARD MUNGUTI MJANE wa mfanyabiashara tajiri kutoka Uholanzi, Tob Cohen, anayezuiliwa katika gereza la wanawake la Langata, Sarah...

Kisura taabani kumtandika mumewe kila siku

Na TOBBIE WEKESA Tulienge, Bungoma Kipusa mmoja wa eneo hili alijipata pabaya baada ya wazee wa ukoo kumuonya vikali dhidi ya...

Mkewe bosi atimua kidosho akidai atampokonya mume

Na TOBBIE WEKESA Viwandani, Nairobi  Mke wa mkurugenzi wa kampuni moja eneo hili aliwashangaza wafanyakazi alipomlazimisha kipusa...

Mke wa mwalimu aliyeuawa kukaa seli

Na NDUNGU GACHANE MKE wa mwalimu Mkuu wa Shule ya Upili ambaye mwili wake ulipatikana Jumapili ukiwa umewekwa katika buti ya gari...

SHANGAZI: Nataka kumsahau mpenzi lakini nalemewa na hisia

Na SHANGAZI SIZARINA Kwako Shangazi. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22. Sijaolewa lakini nilizaa mtoto na mwanamume tuliyekuwa...

Ajuta kujaribu kumtia mumewe kiganjani

Na LEAH MAKENA GITEMBENE, MERU Mama wa hapa alipatiwa talaka  kwa kuweka akiba kisiri ili ajenge nyumba ya kifahari. Mama alikuwa na...

SHANGAZI: Kila niendapo kwa duka lake, hulalama kuhusu mumewe

Mimi ni kijana na nilioa miaka mitatu iliyopita. Nina mtoto mmoja. Tatizo ni kwamba, kuna mwanamke mwenye biashara ya nguo. Niendapo...

Wa Muchomba atawataka wanaume kuoa wake wengi

Na ERIC WAINAINA MBUNGE Mwakilishi wa Kaunti ya Kiambu Gathoni wa Muchomba amewaomba wanaume katika jamii ya Agikuyu kuoa wake wengi,...

SHANGAZI AKUJIBU: Mume wangu bado anafuatafuata mke wa zamani

Kwako shangazi. Nimeolewa na mwanamume ambaye alikuwa amezaa na mwanamke mwingine kabla hajanioa. Sasa nimegundua bado anamfuata mwanamke...

FATAKI: Si lazima kuzaa au kuolewa ndipo ukamilike kama mwanamke, usiishi kuridhisha waja

Na PAULINE ONGAJI Kwa Muhtasari: Maishani mwake hajawahi kuolewa ila alibahatika kukutana na dume la miaka 65 mtandaoni Jamii...

Mume wa wake wawili walioshtakiwa kumiliki bunduki pia akabiliwa kisheria

[caption id="attachment_1380" align="aligncenter" width="800"] Mume wa wanawake wawili Bw Ibrahim Gedi Abdile akiwa kizimbani katika...