• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Niko tayari kuwa mgombea mwenza wa Raila- Munya

Na ALEX NJERU WAZIRI wa Kilimo, Bw Peter Munya, amesema hatakataa kuwa mgombea mwenza wa kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga kwenye...

Munya atangaza kupigania ugavana Meru

Na David Muchui WAZIRI wa Kilimo, Peter Munya ametangaza nia yake ya kuwania tena kiti cha ugavana katika kaunti ya Meru uchaguzi mkuu...

Viongozi wamsifu Rais Kenyatta kuteua Munya Waziri wa Kilimo

Na Charles Wanyoro BAADHI ya viongozi wa Kaunti ya Meru wamekaribisha kupandishwa cheo kwa Waziri mpya wa Kilimo Peter Munya, wakisema...

Munya ataka thamani ya pamba iimarishwe

Na FADHILI FREDRICK WAZIRI wa Biashara na Viwanda, Bw Peter Munya ametoa wito kwa wawekezaji kuongeza thamani zaidi kwenye zao la pamba...

Mbunge maalum ataka Munya ajiuzulu

Na DAVID MUCHUI MBUNGE maalum, Bi Halima Mucheke amemtaka Waziri wa Biashara Peter Munya ajiuzulu kwa kuruhusu kuuzwa kwa mafuta...

Yafichuka Uhuru alimtuma Ruto kwa Munya

Na VALENTINE OBARA UAMUZI wa Rais Uhuru Kenyatta kutohudhuria kongamano la kibiashara katika jumba la KICC jijini Nairobi, ndio...

WANDERI: Madai ya njama ya kuua Ruto yasitiwe mzaha

Na WANDERI KAMAU MADAI ya mauaji dhidi ya Naibu Rais William Ruto hayapaswi kuchukuliwa kwa urahisi. Hii ni kwa kuwa Kenya ina historia...

Tangatanga wataka Munya na wenzake wajiuzulu

Na CHARLES WASONGA WABUNGE saba kutoka mrengo vuguvugu la 'Tangatanga' sasa wanawataka mawaziri wanaodaiwa kupanga njama ya kumuua Naibu...

Bunge la Kenya limejaa watoto, asema Munya kuhusu madai ya kuua Ruto

Na PETER MBURU WAZIRI wa Biashara Peter Munya ameendelea kujitetea pamoja na mawaziri wenzake wanaodaiwa kupanga mpango wa kuua Naibu...

Peter Munya ajipata njia panda ugenini Jubilee

Na MWANGI MUIRURI WAZIRI wa Biashara na Viwanda Peter Munya ambaye analaumiwa pakubwa na baadhi ya wanasiasa wa Mlima Kenya kwa...

Sukari sasa ni salama, Munya aambia Wakenya

Na CECIL ODONGO WAKENYA hawafai kuhofia kuhusu uwepo wa sukari ghushi sokoni baada ya ripoti ya uchunguzi uliofanywa na maabara ya...