• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

JAMVI: Nyachae alivyomtayarisha Matiang’i kuwa kiongozi wa jamii ya Abagusii

Na WANDERI KAMAU IMEFICHUKA mwanasiasa mkongwe, Simeon Nyachae, alikuwa ashamtayarisha Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang’i,...

MAUYA OMAUYA: Nyachae alikuwa na bidii, ila alikuwa ‘mkoloni mweusi’

Na MAUYA OMAUYA KANDO na bidii yake binafsi, ni bayana kwamba ufanisi wa Simeon Nyachae ni zao la maovu ya ukoloni. Wanyama wote sio...

Mazishi yageuka rungu la kuchapa Ruto

WYCLIFFE NYABERI na WANDERI KAMAU MAZISHI ya waziri wa zamani, Bw Simeon Nyachae, Jumatatu yaligeuka kuwa uwanja wanasiasa kumponda...

Buriani Mzee Simeon Nyachae

Na SAMMY WAWERU. MWANASIASA mkongwe Mzee Simeon Nyachae amezikwa Jumatatu nyumbani kwake katika kijiji cha Nyosia, Kaunti ya...

Maangi na Osoro wakamatwa katika mazishi ya Nyachae

Na SAMMY WAWERU Mbunge wa Mugirango Kusini, Bw Silvanus Osoro na Naibu Gavana wa Kisii Joash Maangi wamekamatwa na maafisa wa polisi...

‘Simba’ wa Kisii kukumbukwa kwa kunguruma

CHARLES WASONGA na NYAMBEGA GISESA ALIYEKUWA 'simba' wa siasa za eneo la Kisii, Simeon Nyachae, ambaye aliaga dunia jana atakumbukwa...

Rais awaongoza vigogo wa siasa kumwomboleza Nyachae

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu aliwaongoza viongozi wakuu nchini kumwomboleza aliyekuwa Waziri wa Fedha Simeon Nyachae...

TANZIA: Simeon Nyachae afariki

Na CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Waziri wa Fedha na Mbunge wa Nyaribari Chache, Bw Simeon Nyachae amefariki, familia yake imetangaza rasmi...

Maraga arukwa katika uteuzi wa Jaji Nyachae

[caption id="attachment_2073" align="aligncenter" width="800"] Bw Charles Nyachae aliyeteuliwa jaji kuwakilisha Kenya katika Mahakama ya...