• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 10:55 AM

Upungufu mkubwa wa nyama wakumba Tana

Na STEPHEN ODUOR UHABA mkubwa wa nyama ya ng'ombe umeanza kukumba vichinjio katika Kaunti ya Tana River, huku ukame ukizidi kuangamiza...

Shirika laonya kuhusu nyama

Na MWANDISHI WETU NYINGI ya nyama ya nguruwe na kuku inayouzwa katika maduka makubwa nchini sio salama kwa afya ya...

LISHE: Wali na nyama iliyosagwa

Na MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 10 Muda wa mapishi: Dakika 30 Walaji: 4 Vinavyohitajika...

Wito serikali iongeze maabara za nyama

Na RICHARD MAOSI WATAALAMU katika sekta ya ufugaji wameitaka serikali iwekeze zaidi katika ujenzi wa maabara za kuchunguza ubora wa...

Taabani kwa kuiba nyama ya Sh200,000

Na Richard Munguti Muuzaji nyama alishtakiwa kuvunja na kuiba nyama na vifaa vingine vilivyo na thamani ya Sh208,600. James Githua...

SIHA NA LISHE: Ukitaka protini kula vyakula hivi

Na MARGARET MAINA [email protected] Kazi za protini mwilini • protini ni muhimu katika kujenga mwili • ni muhimu...

Biashara ya nyama yanoga kisiwani Lamu

Na KALUME KAZUNGU BIASHARA ya nyama katika mji wa kale wa Lamu imekuwa ikifanya vyema tangu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ulipoanza licha...

KRISMASI: Bei ya nyama ya mbuzi na kuku yapanda

JOHN MUTUA na CHARLES WASONGA BEI ya mbuzi na kuku imepanda zaidi wakati huu wa Krismasi huku uchumi ukishuhudia kupungua kwa watu...

MAZINGIRA NA SAYANSI: Chakula hatari kwa afya ya mwili, adui wa mazingira pia

Na LEONARD ONYANGO IKIWA wewe ni mpenzi wa nyama au vyakula vinginevyo ambavyo vimethibitishwa kusababisha maradhi mwilini, basi...

Wanaswa wakisafirisha nyama ya nyati hadi Burma, Nairobi

Na CHARLES WASONGA MAAFISA wa Shirika la Wanyamapori Nchini (KWS) Jumanne walinasa washukiwa watatu akiwemo mfanyabiashara mmoja wa...

NGILA: Tunahitaji suluhu tosha kwa sekta ya nyama nchini

NA FAUSTINE NGILA JUMA lililopita nilihudhuria kongamano la Siku ya Ubunifu mtaani Westlands, Nairobi lililoandaliwa na kampuni ya...

Madaktari wataka marufuku ya kemikali ya kuhifadhi nyama

IRENE MUGO na AGGREY OMBOKI MUUNGANO wa Madaktari wa Mifugo Nchini (KVA) sasa unaitaka serikali kupiga marufuku matumizi ya kemikali...