Tag: polisi
Polisi hawahusiki na utekaji nyara wala mauaji – Mutyambai
MISHI GONGO NA WACHIRA MWANGI INSPEKTA jenerali wa polisi Bw Hillary Mutyambai amewaonya Wakenya dhidi ya kuwahusisha maafisa wa polisi...
- by adminleo
- July 6th, 2020
Polisi kizimbani kwa kumumunya mamilioni ya NSSF
Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA wakuu wawili wa polisi akiwamo naibu wa afisa msimamizi wa Kituo cha Polisi cha Narok (OCS) walishtakiwa...
- by adminleo
- June 10th, 2020
Washukiwa watano wa mauaji ya polisi wakamatwa Lamu
Na KALUME KAZUNGU WASHUKIWA watano wametiwa mbaroni kuhusiana na mauaji ya afisa wa polisi katika kijiji cha Tchundwa, Kaunti ya Lamu...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Polisi wageuka makuhani wa mauti wakati huu wa janga la corona
MARY WAMBUI na BENSON MATHEKA FAMILIA ya Yassin Moyo ingali na majonzi tangu ilipompoteza mnamo Machi 31 baada ya kupigwa risasi tumboni...
- by adminleo
- May 28th, 2020
Mwanajeshi na polisi waliofyatuliana risasi kimakosa wafariki
Na FARHIYA HUSSEIN MWANAJESHI na polisi waliopata majeraha kwa kufyatuliana risasi kimakosa wamefariki kutokana na majeraha waliyopata...
- by adminleo
- May 27th, 2020
Wanajeshi wawili na polisi wauguza majeraha baada ya kushambuliana kimakosa
Na FARHIYA HUSSEIN WANAJESHI wawili kutoka kikosi cha Kenya (KDF) na polisi mmoja wanaendelea kuuguza majeraha waliyopata baada ya...
- by adminleo
- May 27th, 2020
Kero mitandaoni polisi kumuua Mwafrika kwa kumkanyaga shingoni kwa goti
NA MASHIRIKA Minnesota, Amerika Video ya Mwafrika aliyefariki baada ya polisi wa Minneapolis kumkanyaga kwa goti shingoni huku...
- by adminleo
- May 11th, 2020
Visa vya wananchi kuwapiga polisi vyaibua wasiwasi tele
Na WAANDSHI WETU MTINDO ambapo wananchi wameanza kuchukua sheria mikononi mwao na kuwashambulia polisi unaibua hofu nchini. Hili...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Polisi kizimbani kwa madai ya kuua mtu wakati wa kafyu
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa Polisi alishtakiwa kwa mauaji ya mkazi wa mtaa wa Mathare, Kaunti ya Nairobi wakati wa kushika doria za...
- by adminleo
- May 6th, 2020
Wanaume wawili wakamatwa Mombasa kwa kujifanya maafisa wa polisi
Na MISHI GONGO WANAUME wawili wanazuiwa katika kituo cha polisi cha Chaani eneobunge la Changamwe, Kaunti ya Mombasa kwa kosa la...
- by adminleo
- April 23rd, 2020
ODONGO: Polisi wakome kutumia Covid-19 kuendeleza ufisadi
Na CECIL ODONGO HUKU Waziri wa Afya Mutahi Kagwe anapojikaza kila siku kushawishi Wakenya kutii kanuni zilizowekwa kuzuia maambukizi ya...
- by adminleo
- April 17th, 2020
Wanaosumbua polisi wakati wa kafyu waonywa
Na SAMMY WAWERU Rais Uhuru Kenyatta ametoa onyo kwa watu wanaohitilafiana na maafisa wa polisi katika jitihada zao kutekeleza kafyu. Rais...