Tag: rwanda
- by T L
- January 29th, 2022
Rwanda kufungua mpaka na Uganda
NA MASHIRIKA KIGALI, RWANDA SERIKALI ya Rwanda imesema itafungua tena mpaka wake na Uganda mwezi huu huku ikijitahidi kuzima taharuki...
Ni aibu Magoha kupotosha kuwa ni rahisi kustawisha nchi ‘ndogo’ kuliko nchi ‘kubwa’
Na SAMMY WAWERU RWANDA ni nchi ndogo na iliyopata uhuru wa kujitawala kutoka kwa serikali ya Mbeberu mwaka wa 1961. Taifa hilo...
- by adminleo
- July 27th, 2020
Afisa wa zamani achunguzwa kwa mauaji ya halaiki Rwanda
Na MASHIRIKA PARIS, Ufaransa UFARANSA imeanza kumchunguza afisa mmoja wa zamani wa kijeshi wa Rwanda dhidi ya tuhuma kwamba...
- by adminleo
- August 22nd, 2019
Museveni na Kagame waridhiana
Na AFP MARAIS wa Rwanda na Uganda wametia saini makubaliano ya kusitisha uhasama kati ya mataifa hayo ambao umekithiri kwa miezi...
- by adminleo
- June 11th, 2019
Mpaka kati ya Rwanda na Uganda wafunguliwa
Na AFP SERIKALI ya Rwanda hatimaye imefungua mpaka wake na Uganda katika eneo la Gatuna ili kuruhusu magari yanayobeba bidhaa kupita na...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Warwanda wawili wakamatwa UG wakiendesha ujasusi
Na DAILY MONITOR MAAFISA wa usalama wa Uganda wamekamata wanajeshi wawili wa Rwanda kwa madai ya kuingia nchini humo kukusanya taarifa...
- by adminleo
- March 3rd, 2019
Hasara baada ya Rwanda kufunga mpaka wake na UG
Na MASHIRIKA SERIKALI za Uganda na Rwanda ziliendelea kulaumiana kuhusu mzozo uliosababisha mpaka wa nchi hizo mbili...
- by adminleo
- December 12th, 2018
Rwanda taabani kwa kuita waziri wa Afrika Kusini ‘malaya’
NA MASHIRIKA RWANDA imejipata matatani baada ya mtandao unaoounga mkono serikali kumrejelea waziri mmoja wa wa Afrika Kusini kama...
- by adminleo
- October 18th, 2018
Raia wa Rwanda apatikana na hatia ya kumuua mwanamke mjamzito lojing’i
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu Alhamisi ilimpata raia wa Rwanda na hatia ya kumuua mwanamke mjamzito. Jaji Jessie Lesiit alimpata na...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Minnaert afurushwa Rwanda kwa matokeo ya aibu
Na CECIL ODONGO ALIYEKUWA kocha AFC leopards Ivan Minnaert ametimuliwa na waajiri wake Klabu ya Rayon Sports ya Rwanda kufuatia misururu...
- by adminleo
- June 12th, 2018
KCB washindwa kutwaa ubingwa wa voliboli Rwanda
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Afrika mwaka 2006, KCB walikamilisha Voliboli ya Rwanda Genocide Memorial katika nafasi ya pili baada ya...
- by adminleo
- March 29th, 2018
Rwanda kutua nchini kwa mchuano wa Kombe la Afrika U-20
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya soka ya Rwanda ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20 itawasili Kenya Ijumaa kwa mchuano wa kufuzu...