Tag: senegal
- by T L
- January 26th, 2022
AFCON: Senegal wakomoa Cape Verde na kuingia robo-fainali
Na MASHIRIKA FOWADI Sadio Mane alifungulia Senegal ukurasa wa mabao katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cape Verde mnamo Jumanne usiku na...
- by T L
- January 10th, 2022
Penalti ya Sadio Mane yasaidia Senegal kuzamisha Zimbabwe katika mechi ya Kundi B kwenye AFCON
Na MASHIRIKA PENALTI ya sekunde za mwisho wa kipindi cha pili kutoka kwa fowadi Sadio Mane wa Liverpool iliwezesha Senegal kukomoa...
Kiongozi wa upinzani Ousmane Sonko atimuliwa kwa ubakaji Senegal
Na AFP DAKAR, Senegal KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Senegal Ousmane Sonko amesema atajiwasilisha mahakamani Jumatano...
- by adminleo
- July 6th, 2020
Msanii Omar Blondin Diop alivyoteswa akipigania haki za raia wa Senegal
NA FLORIAN BOBIN Maisha ya mwanaharakati na msanii wa Senegal Omar Blondin Diop, aliyeuawa mwaka 1973 kwa kupigwa risasi chini ya...
- by adminleo
- November 15th, 2019
MAJABALI: Senegal, Super Eagles waanza vyema safari
Na MASHIRIKA SENEGAL na Nigeria zilikuwa kati ya timu zilizoanza kampeni ya kufuzu kushiriki Kombe la Afrika (Afcon) mwaka 2021 kwa...
- by adminleo
- October 11th, 2019
Firmino, Mane wang’aa gozi la Brazil na Senegal
Na MASHIRIKA IDARA ya ushambuliaji ya Liverpool ilitoa nyota wa mechi ya kirafiki huku Brazil ikikabwa 1-1 na Senegal mnamo Alhamisi...
- by adminleo
- July 19th, 2019
FAINALI KALI: Algeria na Senegal kukwaana leo Ijumaa
Na MASHIRIKA CAIRO, Misri MBIVU na mbichi kwenye makala ya 32 ya Kombe la Afrika itajulikana leo nchini Misri wakati Teranga Lions ya...
- by adminleo
- June 27th, 2019
Fataki kulipuka Senegal na Algeria wakipapurana
Na CHRIS ADUNGO FATAKI zinatarajiwa kulipuka leo jijini Cairo wakati Senegal watakapochuana na Algeria katika mechi ya pili ya...
- by adminleo
- June 5th, 2019
AFCON: Senegal imani kwa kikosi cha Kombe la Dunia
Na CHRIS ADUNGO MWISHONI mwa wiki jana, kocha Aliou Cisse wa timu ya taifa ya Senegal aliwadumisha wachezaji 16 aliowategemea kwenye...
- by adminleo
- September 10th, 2018
Senegal vs Madagascar: Shabiki afariki kabla ya mechi
CECIL ODONGO Na AFP SHABIKI wa soka alifariki Jumapili huku wengine 40 wakinusurika na kupata majeraha mabaya kabla ya mchuano wa soka...
- by adminleo
- June 28th, 2018
Colombia yazima tumaini la Afrika Kombe la Dunia
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya mwisho ya Afrika, Senegal imeondolewa kwenye Kombe la Dunia linaloendelea nchini Urusi baada ya kuzabwa 1-0 na...
- by adminleo
- June 19th, 2018
The Lions of Teranga watafuna na kumeza Lewandowski na wenzake
Na CECIL ODONGO HATIMAYE bara zima la Afrika limenguruma, vigelegele vimetanda kote barani miongoni mwa mashabiki kindakindaki wa mchezo...