Tag: shangazi
- by T L
- November 13th, 2022
SHANGAZI SIZARINA: Mbona kila ninayemtongoza anikataa?
Mbona kila ninayemtongoza anikataa? Kusema ukweli nahisi kama nimelaaniwa, kwani kila ninapotongoza huwa nakataliwa. Nifanyeje kwani...
- by adminleo
- December 1st, 2019
SHANGAZI: Tangu nimshauri tukapimwe, mpenzi ananihepa
NA SHANGAZI SIZARINA Hujambo Shangazi? Nimekuwa na mwanamke mpenzi wangu kwa karibu mwaka mmoja na nimetosheka kwamba ndiye anayefaa...
- by adminleo
- November 18th, 2019
SHANGAZI: Mamangu achukia mume wangu ataka nimtaliki
NA SHANGAZI SIZARINA Hujambo Shangazi. Nimeolewa kwa miezi kadhaa sasa. Juzi tulikosana na mume wangu lakini tukasuluhisha tofauti...
- by adminleo
- November 11th, 2019
SHANGAZI: Mke wa mpenzi wangu ananitishia maisha, nifanyeje?
NA SHANGAZI SIZARINA Hujambo Shangazi? Nina umri wa miaka 20 na nina uhusiano na mwanamume ambaye alikuwa ameoa lakini akatengana na mke...
- by adminleo
- February 19th, 2019
SHANGAZI: Nimeoa, yeye pia ameolewa, anataka tuwe wapenzi
Na SHANGAZI Hujambo shangazi? Nilifungua biashara hivi majuzi na nimeajiri wafanyakazi kadhaa, wanaume kwa wanawake. Nilishangaa...
- by adminleo
- February 7th, 2019
SHANGAZI: Nina mke ila namtamani sana kisura fulani afisini
NA SHANGAZI SIZARINA Hujambo shangazi? Nimeoa kwa miaka miwili sasa. Hata hivyo, nimependana na mwanamke fulani tunayefanya kazi pamoja....
- by adminleo
- January 24th, 2019
SHANGAZI: Akiwa mbali natamani burudani, akikaribia simtaki
NA SHANGAZI SIZARINA Hujambo shangazi? Mimi nimeolewa na nina shida kidogo. Nimekuwa nikipandwa na hamu ya kurusha roho na mume wangu...
- by adminleo
- December 28th, 2018
SHANGAZI AKUJIBU: Nilimuacha nilipomfumania akiwa na dadangu
Kwako shangazi. Nililikuwa nimeaolewa lakini nikamuacha mume wangu baada ya kumfumania ndani ya nyumbani yetu akiwa na dada yangu. Huu sasa...
- by adminleo
- May 21st, 2018
SHANGAZI: Mpenzi hajawahi kuniambia kuwa ni mke wa mtu
Na SHANGAZI SIZARINA Shangazi, nimependana na mwanamke fulani kwa mwaka mmoja sasa. kuna mwanaume amekuwa akinipigia simu mara kwa mara...
- by adminleo
- April 30th, 2018
SHANGAZI: Hasemi nami tena tangu nikatae kumburudisha kitandani
Naomba ushauri wako Shangazi. Nilipiga nambari fulani ya simu kimakosa na ikapokewa na kijana. Nilipomwelezea kuwa niliipiga kimakosa...
- by adminleo
- April 10th, 2018
SHANGAZI: Iweje wananishuku ilhali ‘mali’ nimetia kufuli?
Shikamoo shangazi. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 19. Kuna wanaume wengi ambao wamekuwa wakinitaka lakini nimewakataa kwa sababu...
- by adminleo
- March 28th, 2018
SHANGAZI AKUJIBU: Nilienda ng’ambo kurudi nikapata amesonga
Na SHANGAZI SIZARINA Vipi shangazi. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 21 na nimekuwa na uhusiano na mwanamume fulani kwa miaka saba....