Tag: shina la uhai
- by T L
- December 20th, 2022
SHINA LA UHAI: Ugonjwa wa kupasuka mdomo una suluhu
NA WANGU KANURI MIAKA minne iliyopita, Sarah Naomi alijifungua mtoto wa kike ambaye alimletea furaha kuu. Naomi ambaye alijifungua kwa...
- by T L
- March 22nd, 2022
SHINA LA UHAI: Hofu ya ongezeko la visa vya ukoma nchini
LEONARD ONYANGO NA WANGU KANURI UKOMA ni miongoni mwa magonjwa hatari yaliyotajwa katika Biblia na Koran. Kwenye Biblia kumerekodiwa...
- by T L
- March 8th, 2022
SHINA LA UHAI: Hijama: Utaratibu unaotibu maradhi mbalimbali
NA FARHIYA HUSSEIN MFUMO wa matibabu uitwao hijama (cupping) au kuumika au ukipenda kupiga chuku ambao umekuwa ukitumika tangu jadi sasa...
- by T L
- February 1st, 2022
SHINA LA UHAI: Dengue inavyotishia wanaougua kisukari na wajawazito
NA WANGU KANURI BRIAN Mwangi alikuwa buheri wa afya hadi mwanzoni mwa mwezi jana ambapo alianza ghafla kuhisi mchovu na joto jingi...
- by T L
- November 3rd, 2021
SHINA LA UHAI: Kansa ya matiti: Wanaume msiipuze!
Na PAULINE ONGAJI ALIPOGUNDUA kwamba alikuwa na maradhi ya kansa ya matiti mwaka wa 2010, David Thuo Mwanyura, 61, kutoka eneo la...
SHINA LA UHAI: H. pylori: Bakteria hatari wanaotesa mamilioni ya Wakenya
Na LEONARD ONYANGO JE, umekuwa ukihangaishwa na maumivu makali tumboni kwa kipindi kirefu na kuhisi kushiba hata bila kula, kuna...
SHINA LA UHAI: Hofu ya ongezeko la saratani ya mapafu nchini
Na PAULINE ONGAJI MIAKA mitatu iliyopita, Jess*, mkazi wa mtaa wa Kayole jijini Nairobi, aligundulika kuugua saratani ya mapafu ikiwa...
SHINA LA UHAI: Kukabili athari za tabianchi: Denmark mfano mzuri kwa Kenya
Na PAULINE ONGAJI HUKU ulimwengu ukiendelea kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, Denmark, taifa la idadi ya watu milioni...
SHINA LA UHAI: ‘Wageni’ hatari wanaohangaisha wakazi hasa vijijini
Na LEONARD ONYANGO MIAKA saba tangu Abdirashid Bashir kuumwa na nyoka aina ya koboko (black mamba), hajawahi kupona licha ya kutumia...
SHINA LA UHAI: HIV: Maelfu wakwepa tembe za PrEP, kunaendaje?
Na LEONARD ONYANGO USIPOKUWA makini utadhani tembe ya kuzuia virusi vya HIV, pre-exposure prophylaxis (PrEP), ni sawa na tembe ya...
SHINA LA UHAI: Nimonia: Nduli anayewaandama watoto kila uchao
LEONARD ONYANGO na STEPHEN ODUOR UTAKAPOMALIZA kusoma makala haya, zaidi ya watoto 10 watakuwa wamefariki kote duniani kutokana na...
SHINA LA UHAI: Hedhi salama bado ni changamoto kwa wasichana shuleni
Na LEONARD ONYANGO UKOSEFU wa misala au vyoo safi shuleni kunachangia katika kudorora kwa masomo miongoni mwa wasichana kote...