Tag: thika
- by T L
- November 22nd, 2021
Wakazi wa Thika kunufaika pakubwa ukarabati wa barabara ya kilomita 20 ukiendelea
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Thika na vitongoji vyake, watanufaika na ukarabati wa barabara ya kilomita 20 chini ya mpango uliofadhiliwa...
Ni idadi ndogo tu ya wanaojitokeza Thika kujisajili wawe wapigakura
Na LAWRENCE ONGARO HUKU uandikishaji wa wapigakura ukiendelea tangu uanze Jumatatu wiki hii, ni watu wachache wanaojitokeza katika kituo...
ODM yafanya uchaguzi wa wasimamizi tawi la Thika
Na LAWRENCE ONGARO HUKUn siasa za kutafuta uungwaji mkono zikiendelea kuchacha, chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimefanya...
Wito viongozi wa Mlima Kenya wajipange wawe pamoja kisauti
Na LAWRENCE ONGARO VIONGOZI wa Mlima Kenya wamehimizwa kuwa na mwelekeo mmoja wakati huu Kenya inapoelekea kuandaa uchaguzi wa mwaka wa...
Wanafunzi 94 kutoka Thika kupata ufadhili masomoni
Na LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI kutoka familia maskini wapatao 94 katika kaunti ndogo ya Thika watanufaika na mpango wa serikali kuwasaidia...
Nyumba za kisasa kujengwa Ruiru na Thika
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Ruiru watanufaika kwa ujenzi wa nyumba 500 eneo la Majengo karibu na soko kuu la eneo hilo. Gavana wa...
Uchunguzi waanzishwa kufuatia kifo cha mfanyabiashara Thika
Na MWANGI MUIRURI IDARA ya polisi imeanzisha uchunguzi kufuatia kifo cha mfanyabiashara mmoja Thika, ambapo mwili wake ulipatikana akiwa...
Mbunge wa Thika awatetea wakandarasi
Na LAWRENCE ONGARO WANANCHI wamehimizwa kutoka maoni yao kuhusu mswada wa zabuni uliowasilishwa bungeni wa mwaka 2020 na ambao...
- by adminleo
- May 30th, 2020
Mbunge ahimiza vijana watumie ubunifu kujiendeleza
Na LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika Bw Patrick Wainaina alipendezwa na akaelezea kufurahishwa kwake na ubunifu uliofanywa na vijana...
- by adminleo
- May 21st, 2020
Katibu anayehusika na nyumba na makazi aahidi serikali itaboresha Kiandutu
Na LAWRENCE ONGARO MPANGO wa kazi kwa vijana mitaani utazidi kuboreshwa zaidi ili kukabiliana na hali ngumu ya kiuchumi iliyosababishwa...
- by adminleo
- May 5th, 2020
Naivas yawapa wahudumu wa afya wa Thika Level 5 vyakula na sabuni
Na LAWRENCE ONGARO WAHUDUMU wa afya katika hospitali ya Thika Level 5 wapatao 100 walipokea vyakula kutoka kwa supamaketi ya Naivas tawi...
- by adminleo
- May 3rd, 2020
Vijana 1,500 mjini Thika kunufaika na mpango wa serikali kuwapa ajira
Na LAWRENCE ONGARO VIJANA mjini Thika watanufaika na mpango wa serikali wa kuwaajiri kazi mitaani ili wajikimu kimaisha. Mbunge wa...