Tag: ugavi
Kaunti zote zitapokea fedha Jumatatu – Serikali
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Fedha Ukur Yatani Ijumaa alisema kuwa serikali 47 za kaunti zitasambaziwa Sh60 bilioni kuanzia Jumatatu,...
Kaunti zitaongezewa Sh50 bilioni kwa bajeti – Uhuru
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta mnamo Jumanne, September 15, 2020, aliahidi kuwa Serikali ya Kitaifa itaongeza mgao wa...
Ukosefu wa fedha walemaza miradi, huduma katika kaunti
Na KENNEDY KIMANTHI SERIKALI zote 47 za kaunti nchini hazitaweza kugharimia miradi ya maendeleo ya kaunti au kulipia huduma za maji,...
Ikulu inaingilia ugavi wa fedha za kaunti, Kang’ata afichua
Na CHARLES WASONGA HUENDA muafaka kuhusu suala tata la mfumo wa ugavi wa fedha miongoni mwa serikali 47 za kaunti usipatikane hivi...
Maseneta waunda kikao kingine cha upatanisho
Na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine maseneta wamebuni kamati ya upatanishi kujaribu kusaka mwafaka kuhusu suala tata la mfumo wa ugavi...
Seneta Lelengwe aachiliwa huru bila masharti
Na CHARLES WASONGA SENETA wa Samburu Steve Lelengwe mnamo Jumatatu, Agosti 17, usiku aliachiliwa huru baada kuhojiwa na maafisa wa...
- by adminleo
- August 9th, 2020
Maseneta wanavyotumia utata wa ugavi wa mapato kujijenga
Na WANDERI KAMAU IMEBAINIKA kuwa baadhi ya maseneta wanatumia utata uliopo kuhusu Mfumo wa Ugavi wa Mapato kwa serikali za kaunti...
- by adminleo
- August 8th, 2020
Maseneta wazidi kutofautiana kuhusu fedha za kaunti
Na CHARLES WASONGA HUENDA maseneta wakakosa kuelewana tena kuhusu mfumo mwafaka wa ugavi wa fedha kwa kaunti, baada ya kamati ya...
- by adminleo
- August 5th, 2020
Maseneta wakosa kuelewana kwa mara ya saba
Na CHARLES WASONGA KWA mara ya saba Jumanne, maseneta walifeli kuelewana kuhusu suala ya mfumo wa fedha baina ya kaunti. Hii ni baada...
- by adminleo
- August 4th, 2020
Ni wakati wetu kupata maendeleo, wafoka wabunge wa maeneo kame
Na CHARLES WASONGA WABUNGE kutoka maeneo kame nchini (ASAL) wamewataka maseneta kutupilia mbali mfumo wa ugavi wa fedha kwa kaunti...
- by adminleo
- August 4th, 2020
Siasa za ugavi wa pesa zachangia kufifia kwa umaarufu wa Ruto Mlima Kenya
NA MWANGI MUIRURI SIASA za mfumo utakaotumika kugawa Sh316.5bilioni za Kaunti mwaka huu wa kifedha (2020/21) zinatishia umaarufu wa...
- by adminleo
- August 3rd, 2020
WASONGA: Mzozo wa ugavi pesa ni kuhusu siasa wala si maslahi ya raia
Na CHARLES WASONGA LEO maseneta wanarejelea mjadala tata kuhusu mfumo wa ugavi wa fedha miongoni mwa kaunti 47. Hii ni baada yao kukosa...