Tag: wanafunzi
- by T L
- April 6th, 2022
Wanafunzi mtaa wa mabanda wakiuka hali ngumu na kufanya vyema
Na SAMMY KIMATU NAIROBI WANAFUNZI watano katika mitaa ya mabanda ya Mukuru walikiuka hali ngumu ya mazingira waliyosomea na kuzoa...
- by T L
- November 10th, 2021
Wanafunzi 26 wateketea madarasa yaliposhika moto
Na AFP WATOTO 26 wenye umri wa kati ya miaka mitano na sita waliteketea hadi kufa madarasa yao yenye kuta za mbao yaliposhika moto...
WANTO WARUI: Wanafunzi walio katika shule za maeneo hatari walindwe
NA WANTO WARUI WANAFUNZI wengi katika taifa hili wamekuwa wakiathirika zaidi kimasomo kutokana na ukosefu wa kiusalama katika maeneo...
Kamishna ataka serikali impe ndege ya kusaka wanafunzi
NA MWANDISHI WETU KAMISHNA wa Kaunti ya Baringo Henry Wafula ameitaka serikali kumpa helikopta ili awasake watahiniwa wa KCPE mwaka jana...
WANTO WARUI: Tutahadhari kuhusu corona Kidato cha Kwanza wakiripoti wiki hii
Na WANTO WARUI Huku wanafunzi wa kidato cha kwanza wakiripoti katika shule zao mpya za sekondari hii leo, kuna uwezekano wa maambukizi...
WANTO WARUI: Serikali iokoe wanafunzi wanaotaabika Mbeere Kusini
NA WANTO WARUI HUKU shule zikifunguliwa hii leo, wanafunzi kutoka familia maskini hawana uhakika wa kurudi shuleni kutokana na taabu...
Wanafunzi 170,000 waliokosa kurejea shuleni wasakwa
Na LEONARD ONYANGO TAKRIBANI wanafunzi 170,000 hawajarejea shuleni tangu shule zilipofunguliwa wiki mbili zilizopita licha ya serikali...
Wanafunzi wengi zaidi kusomea chini ya miti 2021
Na WAANDISHI WETU IDADI kubwa ya wanafunzi watakaorudi shuleni wiki ijayo, watalazimika kusoma chini ya miti baada ya serikali kushindwa...
Wanafunzi waliokataa kurudi shuleni wasakwa na machifu
Na Wycliffe Nyaberi MACHIFU na maafisa wa Nyumba Kumi katika eneo la Nyamagwa, Kaunti ya Kisii, wameanzisha msako wa kuwatafuta...
Sintofahamu shule zikifunguliwa leo hii
Na WAANDISHI WETU SHULE za msingi na za sekondari nchini zinafunguliwa hii leo huku kukiwa na changamoto tele zinazotishia kutatiza hata...
- by adminleo
- February 4th, 2020
Taifa laendelea kuomboleza vifo vya wanafunzi 14 Kakamega
Na CAROLINE WAFULA WAZAZI na viongozi mbalimbali wako katika Shule ya Msingi ya Kakamega ambapo Jumatatu kulitokea mkasa wa mkanyagano...
- by adminleo
- September 23rd, 2019
Yabainika ujenzi wa jengo lilioua wanafunzi 7 ulikuwa duni
NA PETER MBURU SHULE ya msingi ya Precious Talent Academy ambapo wanafunzi saba walifariki Jumatatu asubuhi baada ya sehemu ya jengo...