• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 9:50 AM
Magufuli afungua shule na shughuli zilizofungiwa

Magufuli afungua shule na shughuli zilizofungiwa

NA THE CITIZEN

Rais wa nchi ya Tanzania John Magufuli  ameamuru shule zifunguliwe hapo Juni 29.

Shule zilifungwa Machi kufuatia kuzuka kwa ugonjwa wa corona ambao umeathiri watu 5.1 milioni huku watu 333,000 wakifariki duniani .

Rais huyo alitangaza hayo alipohutubia bunge jijini Dodoma. “Kwasababu visa vya corona vimepungua humu nchini nachukua nafasi hii kutangaza kufunguliwa wa shule zilizobaki, na shughuli zingine ambazo zilifungiwa kama harusi,’’ alisema.

“Maisha lazima yaendelee kama kawaida,’’ aliongeza.

 

  • Tags

You can share this post!

61 waliosafiri kinyume cha sheria wawekwa karantini kwa...

Mpango wa kuwarudisha nyumbani Waganda waliokwama ughaibuni...

adminleo