Linda Jemutai ni mzaliwa wa Kaunti ya Uasin Gishu, amehitimu miaka 25. Yeye ni mfanyibiashara kutoka Nakuru. Uraibu wake ni kusakata densi...
Janet Jemutai ni mzaliwa wa kaunti ya Uasin-Gishu, yeye ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kukuu Cha Maasai Mara. Uraibu wake ni...
Winnie Soyo 25 ni mzaliwa wa eneo la Nyahururu kaunti ya Laikipia. Yeye ni mwanafasheni na mwanamitindo. Anapenda kupika, kusafiri na...
Janine Daki ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha Egerton, amehitimu miaka 24, yeye ni mzaliwa wa kaunti ya Nakuru na mshindi wa tuzo za...
Mary Rewel mwenye umri wa miaka 24, ndiye anatupambia wavuti wetu , yeye ni mwalimu na mchekeshaji.Uraibu wake ni kusoma majarida na...
Janet Bonyo 24 ni mfanyibiashara kutoka kaunti ya Nakuru, yeye ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha Egerton Njoro. Uraibu wake ni kusoma,...
Jane Kharim amefikisha miaka 24, yeye ni mwanamitindo na mwanafasheni kutoka kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusakata densi na kujumuika...
Margaret Njeri 22, ni mwanafunzi wa fasheni katika taasisi moja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri na kuogelea. Picha/Richard Maosi
Mary Gichuru 23, ni mfanyibiashara wa mitindo na mapambo kutoka Kaunti ya Nakuru. Anapenda kushiriki kwenye majukwaa ya urembo, kusafiri na...
Grace Mukuhi, mwenye umri wa miaka 20, ni mwanamitindo jijini Nairobi, mtaa wa Uthiru. Uraibu wake ni kusikiza muziki, kuogelea na...
As storm season intensifies, the paths of former storm...
Sparks fly in all directions as marketing maven Kelly...
Gru and Lucy and their girls â Margo, Edith and Agnes...